Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 361,158
- 831,829
Nadhani mnakumbuka kisa cha huyu binti ambaye kwa sasa ni marehemu RIP
aliyejinyonga akiwa chuoni Iringa?
Huyu binti ni mmojawapo wa wahanga wa mimba za bahati mbaya? Mimba kabla ya ndoa... Lakini aliweza kuhimili kwa kupitia magumu yote mpaka kujifungua na hatimaye baada ya muda kuweza kuendelea na masomo yake ngazi ya chuo...
Kwa jinsi inavyosemwa mahusiano yaliyozaa mimba na hatimaye mtoto hayakuwa endelevu... Lakini binti akawa ana faraja kwa kuwa na mtoto mzuri wa kiume asiye na tatizo lolote....
Matendo ya Mungu si ya mwanadamu.... Mtoto yule mzuri akatwaliwa na Bwana mwezi March mwaka huu akiwa na miaka 3... Jiweke kwenye nafasi ya huyu binti... Uyaone maumivu yake... Lakini mbaya zaidi, baba mtoto kwa sababu zisizojulikana hakufika msibani wala hakuhudhuria mazishi ya mwanae... Ikawa ni maumivu juu ya maumivu kwa mama wa mtoto.... Ila akafarijiwa na kufarijika kuwa hili nalo litapita!
Ikiwa ni chini ya siku 40 tangu msiba... Likatokea lingine kubwa zaidi na lililomuongezea maumivu mama mtoto marehemu..... Mzazi mwenzie yule aliyeshindwa hata kufika kaburini kwa mwanae akaoa / akafunga ndoa na mwanamke mwingine tena kwa sherehe!
Kumbuka mtoto alifariki March kwahiyo kwa vyovyote baba alioa mwezi April..... Compressed inner pains were too heavy to bear.... Mama mtoto marehemu akaamua kuchukua uamuzi aliochukua
Wote hawa sasa ni marehemu.... My apology kama picha zinakwaza ama kwa namna yoyote zitaleta maumivu kwa wengine
aliyejinyonga akiwa chuoni Iringa? Huyu binti ni mmojawapo wa wahanga wa mimba za bahati mbaya? Mimba kabla ya ndoa... Lakini aliweza kuhimili kwa kupitia magumu yote mpaka kujifungua na hatimaye baada ya muda kuweza kuendelea na masomo yake ngazi ya chuo...
Kwa jinsi inavyosemwa mahusiano yaliyozaa mimba na hatimaye mtoto hayakuwa endelevu... Lakini binti akawa ana faraja kwa kuwa na mtoto mzuri wa kiume asiye na tatizo lolote....
Matendo ya Mungu si ya mwanadamu.... Mtoto yule mzuri akatwaliwa na Bwana mwezi March mwaka huu akiwa na miaka 3... Jiweke kwenye nafasi ya huyu binti... Uyaone maumivu yake... Lakini mbaya zaidi, baba mtoto kwa sababu zisizojulikana hakufika msibani wala hakuhudhuria mazishi ya mwanae... Ikawa ni maumivu juu ya maumivu kwa mama wa mtoto.... Ila akafarijiwa na kufarijika kuwa hili nalo litapita!
Ikiwa ni chini ya siku 40 tangu msiba... Likatokea lingine kubwa zaidi na lililomuongezea maumivu mama mtoto marehemu..... Mzazi mwenzie yule aliyeshindwa hata kufika kaburini kwa mwanae akaoa / akafunga ndoa na mwanamke mwingine tena kwa sherehe!
Kumbuka mtoto alifariki March kwahiyo kwa vyovyote baba alioa mwezi April..... Compressed inner pains were too heavy to bear.... Mama mtoto marehemu akaamua kuchukua uamuzi aliochukua
Wote hawa sasa ni marehemu.... My apology kama picha zinakwaza ama kwa namna yoyote zitaleta maumivu kwa wengine
