LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,123
- 9,168
kwahiyo kakata kamba kwa aivan.Hapana,athumani tupo nae anafanya kaz kwetu sahiv
kwahiyo kakata kamba kwa aivan.Hapana,athumani tupo nae anafanya kaz kwetu sahiv
mashine gani ya nini na ufundishe nn?? mm na mashine ya digpro 3 ya kushushia KM inanizingua sanaKama una mashine njoo nikufundishe
Out of topic!nataka kubadilisha funguo na ikiwezekana vitasa vyote vya milango vya gari yangu inawezekana boss ...
Nadhani hapo immobilizer haina kazi maana mijizi ikiiba tuvitz twetu wanakuja kwenu TWAFAAAAA
kabla hujasema hivyo mkuu jipe home work ya kuelewa nn maana ya immobilizer na kazi yake hasa ni nn?? kumbuka kuwa immobilizer haizuii kuibiwa vifaa vya gari lkn inazuia kuibiwa gari na funguo ya kuchonga isiyokuwa na sensor'Ni kweli kwani hata nami nina wasiwasi na uwepo wa hii kampuni kwa sababu mara nyingi unakuta wezi wa magari yetu ni hawa hawa. Kikulacho ki maungoni mwako, always.
Ni kweli kwani hata nami nina wasiwasi na uwepo wa hii kampuni kwa sababu mara nyingi unakuta wezi wa magari yetu ni hawa hawa. Kikulacho ki maungoni mwako, always.
kabla hujasema hivyo mkuu jipe home work ya kuelewa nn maana ya immobilizer na kazi yake hasa ni nn?? kumbuka kuwa immobilizer haizuii kuibiwa vifaa vya gari lkn inazuia kuibiwa gari na funguo ya kuchonga isiyokuwa na sensor'
Kwanza ningependa nikurekebishe hio sio kampuni, ni ofisi ya kawaida inajihusisha na utengenezaji wa vifaa vya umeme wa magari(computerized vehicles), na iko na lesen ya kazi hizo, afu ongea kitu ukiwa na uhakika nacho,ofisi yetu iko magomeni mapipa kama utahitaji kuhakiki uwepo wa ofisi yetu.
Vyote ni sawa kampuni au ofisi kwani wote mnatengeneza hizo funguo.
Unatafuta magari ya bureUsihofu mkuu.....hii inawezekana kabisa na tena wenzangu wanafanya bure. Ni hivi; nenda kalipaki gari lako pale Kinondoni Morocco au Makaburini kisha nenda kwenu ukalale. Ukirudi asubuhi utakuta gari lako katika hiyo hali uliyotaka au zaidi ya hapo.
Je mnaweza kuweka mfumo wa tracking ambao utahusisha gari na simu ya mmiliki tu?Hapana,tracking ni mfumo mwingine unsjitegemea ambao unakua na vifaa vyake vya kuweka kwenye gar ili uweze ku track
Funguo hatutengenezi tuanafanya Programming ya sensor pekee(mfano hapo chini kwenye picha),na tukikuoa funguo tunakupa mpya ambao haijachongwa customer ndo ataenda kuchonga mwenyewe
Mimi nataka kuweka kwenye IST, gharama zake zikoje?Ndio inawezekana,unahitaji kuweka kwenye gar aina gani?