Mine eyes
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 6,433
- 7,092
Ulikuwa mkorofi...mkakasi..Idiot Embicile,
Sasa wajua kwanini nasema I'm worthless? Ndio maneno niliokua naambiwa: Huna akili, una damu ya kunguni, una roho mbaya, mjinga, mpumbavu, kila jina baya.
Sent using Jamii Forums mobile app