samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,174
Kwa wapenda udaku sababu ni ugomvi na mkurungenzi.
Ukweli kutokutii chama kinavyotaka
dah mtoto anaonekana mtamu kwenye ile huduma yetu pendwa ya kunyonya mkuyenge aka mzee kichwa wazi.
Kwa wapenda udaku sababu ni ugomvi na mkurungenzi.
Ukweli kutokutii chama kinavyotaka
Sio sababu isipokuwa hulka ya mtu
Mkuu wiki mbili zimepita kuna kichwa kimeenda tayari. Pale nikiwa kwenye bodaboda huwa nasali kimya kimya haiwezekani rasta ziwe za hapo tu na sio zile za kutoka Nambanne Bugarama kwenda Ilogi.Pale mwembe Mauwa hakuna tatizo mkuu.
Tatizo lipo kwa wachimbaji wenyewe, kwakua wanajua kuendesha wakiwa mule mgodini, basi wanajiona ni madereva tayari. Wakisha lewa pale Half London, wanachochea speed wakiwa wanaelekea Bugarama na Ilogi, wakifika mwembe Mauwa na zile Rasta na Blind Corner, hapo lazima magari yao ya mikopo yawatoe barabarani.
Then wanaanza kutafuta mchawi... tehteehhh
Umjini katikati ya washamba lazima uliwe kichwa!!
Bwana mkuu wa Wilaya alietenguliwa na mkurungenzi walikuwa katika ushindani mkubwa pendo la huyo mlimbwendedah mtoto anaonekana mtamu kwenye ile huduma yetu pendwa ya kunyonya mkuyenge aka mzee kichwa wazi.
Haaaahahaaa!!! Mbona mtumbuaji nae huwa anacheza na kupiga ngoma??Huyu alifaa sana enzi za brother JK, zama hizi hazimfai kabisa..
'Kunya anye kuku, akinya bata kaharisha'Haaaahahaaa!!! Mbona mtumbuaji nae huwa anacheza na kupiga ngoma??
Yule si wangu wala si wako,Kwa wapenda udaku sababu ni ugomvi na mkurungenzi.
Ukweli kutokutii chama kinavyotaka
Je hiyo sababu inahusiana nini na utendaji kazi kwa ufanisiYule si wangu wala si wako,
Chuki ya nini kati yangu mimi na wewe,
Wataka kuniua bure.......
Naomba mnikumbushe aliyeimba huu wimbo!
Pale namba nne ni eneo hatarishi kwasababu ndio makutano ya down kutokea Ilogi na Bugarama, hivyo pale ni hataraishi kwasababu ndipo eneo ambalo miteremko hukutana kutoka pande mbili. Kwamaana hiyo, maranyingi vijana wengi huserereka na kutirika pasipo kuwa na kumbukumbu kwamba pale huwa pana mkito ambao husanabisha kari iyumbe ama kuvunja na kuharibu miundombinu ya sehemu ya chini mbele ya gari, sababu ambayo pia huweza sababisha gari ianguke.Mkuu wiki mbili zimepita kuna kichwa kimeenda tayari. Pale nikiwa kwenye bodaboda huwa nasali kimya kimya haiwezekani rasta ziwe za hapo tu na sio zile za kutoka Nambanne Bugarama kwenda Ilogi.
Les WanyikaYule si wangu wala si wako,
Chuki ya nini kati yangu mimi na wewe,
Wataka kuniua bure.......
Naomba mnikumbushe aliyeimba huu wimbo!
Jamaa ni professional, ki music yupo vzr as long as hakuacha kazi ofcn na kwenda kupiga rhumba saa za kazi.Pathetic. asikate tamaa Mungu ana mipango yake
Majungu na fitina zimemtoa mkuu wetu wa wilaya. Hakuna lingineJamaa ni professional, ki music yupo vzr as long as hakuacha kazi ofcn na kwenda kupiga rhumba saa za kazi.
Siamini issue kama ni hii tu, tunajua watu wa visasi. Kama wanagombea, sasa iweje atumbuliwe mmoja ?
Tuachane na hizi akili za kijima kuwa kiongoz hawezi vaa kaptura weekend, au kucheza mpira, golf, basketball, ogelea nk. Hawa nao ni binadamu, wana familia na watoto na SIO lazima kuwa mnafik kama yule anaejifanya kulala na ilani wakati yy mwenyewe ana history ya uhalifu na duniani kwingine hasingepewa kabisa wizara km hiyo !!
Hata mm, siwezi lazimishwa kuacha simu on usiku, lazima nilale nitulize kichwa na kuamka fresh. Wasiolala ndo hao waropokaj ropokaj na kusahau mambo yanaendeshwa kwa misingi ya sheria na kusaini treaties flan za kimataifa sio sawa na kusaini kadi za mialiko !!
Ila huyu kwa vile ni mtu wa karibu na Mwigulu, inawezekana kabisa ndo yale yale tuliyozoea..!!
Majungu na fitina zimemtoa mkuu wetu wa wilaya. Hakuna lingine