habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,739
jamani si wewe umesema kuwa wanasayansi wangesoma bibilia sayansi ingekuwa mbali? si ni wewe? unakubali nini na kukataa nini? kila unapozungumzia bibilia unazungumzia dini, sawa na kuzungumzia Quran unazungumzia uisilamu, ukisema Veda UNAzungumzia uhindu nk,Inaonekana umekutana na wanadini wasioelewa tunachokijadili wakakupotosha ukapotoka.
Sio bibilia inayojadiliwa hapa. Hapa sio kutafuta waumini bali ni biblical evidence kuonyesha kuwa bibilia ni scientifically accurate. na hujazungumzia hata kipengele kimoja