Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,901
- 95,402
Jaribu kwa Ngosha unaweza ukajikuta umewekewa utumbo ambao si wako
Yaani zile mahakama baada ya WW2, ziliweka kanuni kuwa ukitiii amri ya boss/ kamanda wako ambayo ni irrational, basi utawajibika mwenyewe na haitakuwa utetezi kuwa nilifanya hivyo kwa amri toka juu. Nawahurumia polisiccm ambao mara nyingi utasikia hii ni amri toka juu kuzuia mikutano ya hadhara, yakitokea mauaji wajue kanuni itawatafuna wao wenyewe wahusika wa mauwaji. Yule afande aliyetii amri ya Zombe kuua wale raia ndio maana alikimbia na mpaka leo anaishi maisha ya kujificha.Soma historia ya Nazi Germany. Soma The Nurenmberg Trials, utaelewa sababu.
Ume capture the essence of The Nuremberg Trials vizuri sanaYaani zile mahakama baada ya WW2, ziliweka kanuni kuwa ukitiii amri ya boss/ kamanda wako ambayo ni irrational, basi utawajibika mwenyewe na haitakuwa utetezi kuwa nilifanya hivyo kwa amri toka juu. Nawahurumia polisiccm ambao mara nyingi utasikia hii ni amri toka juu kuzuia mikutano ya hadhara, yakitokea mauaji wajue kanuni itawatafuna wao wenyewe wahusika wa mauwaji. Yule afande aliyetii amri ya Zombe kuua wale raia ndio maana alikimbia na mpaka leo anaishi maisha ya kujificha.