Wewe na alietoa madai nani yupo kwenye nafasi nzuri ya kujua hilo?nashauri aliyetoa madai hayo amuombe msamaha Dr.Malecela.
Mwenyewe hata sijui!zika kweli ipo au walikuwa wanazingua?
Magufuli anasema ukitangaza watalii hawaji na kwenye uchumi tunatengemea utalii kwa kiasi flani... Ebola ndiyo huwa haijifichiMwenyewe hata sijui!
Lakini kati ya mwanakemia halaf pia n mwanasiasa na mtaalamu wa magonjwa nani utamwamini?
Unachokumbushwa hapo ni kwamba ukiwa muongo basi jitahidi kuwa kumbukumbuAcha utani wewe.
Hata kama ingekuwa kweli, Rais amuombe samahani Mwele?
Acha siasa za bei rahisi
Kwa hiyo Rais kuwa muongo ni sawa? Huoni kujikita kadanganya na watu wanaujua ukweli ni AIBU kubwa na kikatiba ni kuwa kadhalilisha taasisi ya urais?Acha utani wewe.
Hata kama ingekuwa kweli, Rais amuombe samahani Mwele?
Acha siasa za bei rahisi
..Magufuli aliponunua kivuko kibovu mv bagamoyo alikuwa anatumiwa?
Wakati ananunua alikuwa rais? Wacha kejeli na mzaha wewe, shadidia Chadema huko msikokuwa na Amani.
Mtu anapopewa nafasi kubwa kama hiyo huwa hatangazwi hadharani hadi baadhi ya protokali zikamilike. Sasa yawezekana wewe mleta mada unaangalia tarehe aliyotangazwa na hao mabeberu lakini hujui kabla ya hiyo tarehe ya kutangazwa offer letter alipata lini. Na hapo ndipo linakuja suala la kupewa kazi week moja baada ya kufukuzwa.
Acha utani wewe.
Hata kama ingekuwa kweli, Rais amuombe samahani Mwele?
Acha siasa za bei rahisi
Je, ikibainika alipewa kazi wiki 2 au 3, utasemaje? Kumbuka neno muhimu ni wiki moja.Mtu anapopewa nafasi kubwa kama hiyo huwa hatangazwi hadharani hadi baadhi ya protokali zikamilike. Sasa yawezekana wewe mleta mada unaangalia tarehe aliyotangazwa na hao mabeberu lakini hujui kabla ya hiyo tarehe ya kutangazwa offer letter alipata lini. Na hapo ndipo linakuja suala la kupewa kazi week moja baada ya kufukuzwa.
Kumbe wanawake mna wivu wenu?Acheni wivu wa kike kike.... stupid
..Dr.Mwele Malecela alitumbuliwa mwezi December 16, 2016.
Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi NIMR Dr. Mwele Malecela
Mdomo uliponza kichwa. https://www.jamiiforums.com/threads/rais-magufuli-aliyetangaza-ugonjwa-wa-zika-nchini-alikuwa-anatumika-na-ndiyo-maana-nilipomfukuza-waliomtuma-wakamteua-kuwa-mkurugenzi.1739794/www.jamiiforums.com
..Na habari kwamba amepata kazi UN-WHO zilitangazwa April 3, 2017.
Dkt. Mwele Malecela aula Umoja wa Mataifa. Kuongoza vituo vya magonjwa Afrika
Hivi mnaamini kuwa mtu anaweza kupewa majukumu km hayo bila kuhusisha serikali yake? Bavicha wengi wanaonekana kuwa watu wenye uelewa mdogo na exposure ndogo sana kuhusu namna mambo mengi yanavyoendeshwa nchini na duniani. Ile Kazi ya kusafisha nguruwe iliyokuwa unaifanyaga kule Chicago...www.jamiiforums.com
..madai kwamba Dr.Mwele Malecela alikuwa anatumiwa na alipewa kazi wiki moja baada ya kutumbuliwa siyo ya kweli.
..nashauri aliyetoa madai hayo amuombe msamaha Dr.Malecela.
Cheo ni dhamana mwisho wa ubaya aibuWewe na alietoa madai nani yupo kwenye nafasi nzuri ya kujua hilo?
Acha utani wewe.
Hata kama ingekuwa kweli, Rais amuombe samahani Mwele?
Acha siasa za bei rahisi