Fact! 30 and above Women Get Any Man They Want And Enjoy Quality Life Kuliko 28 and below

Unapenda sana kuandika "sukari" shida ni kwetu wavivu kusoma. Can you summarize please for the benefit of watu kama mimi. Hahah. Good thing though.
 
roho inaniumaaaa sanaaa unavoongea maneno kama hayaaaa. Mwenyewe anakuona Life saver kumbe wewe ushamsoma flops zake zote anavojiia expensive na Tecno, weave ya 10,000, nguo asante mzungu. Hahahaaaa! Yani mimi na hivi vyote i had the balls za kumuomba mtu 1m. Hahahaahaaaaaaaaa! Wengine walinipa sijui kwa kunionea huruma sijui. Kweli ujana maji ya moto. Unajiona wewe ndo wewe kumbe unajidhalilisha tu.


Ndiyo ilivyo, wanajisahau sana kisha wanaume wanawachezea tu na kuwa-abuse knowing kwamba ni wa kupita tu.
 
mimi hapa tu pamenihamasisha walahi na hiki kibaridi ,lara 1 did you mean it?ha ha ha hatari Madame B upo?
"30s hunyoi na Topazzzz hahaaaaa! Unafanya waxing, mwanaume akikukuta lainiii hakuna mipele ya Topazz. Anajua haya maji marefu lazima atoe hela ya maana. Unapaka lotion mkono lainiiiiii."
Nipo....unadhani nitaenda wapi na baridi hili.

Ila lara 1 kalenga sana hii mada.....daadeki zake.
30+ hatujui nyembe wala jivu....unakuta uwanja umefagiliwa mpaka vijanijiani vya kuokoteza hakuna, ila 30- shida tu, hata kwa 10 watakubali ili mradi akanunue pants.
Ila mwekundu naona unasifia sana ila jua sidanganyiki ng'oooooooo!!!!!
 
Nipo....unadhani nitaenda wapi na baridi hili.

Ila lara 1 kalenga sana hii mada.....daadeki zake.
30+ hatujui nyembe wala jivu....unakuta uwanja umefagiliwa mpaka vijanijiani vya kuokoteza hakuna, ila 30- shida tu, hata kwa 10 watakubali ili mradi akanunue pants.
Ila mwekundu naona unasifia sana ila jua sidanganyiki ng'oooooooo!!!!!
Duh!! Huu urembo unawapeleka resi hawa dada zetu can you imagine mdada wa 35+ anaenda kuchanua miguu ili afanyiwe waxing na kabinti ka 20's!? Amakweli ukitaka cha uvunguni shart uiname. Teh teh teh.....
 
Kweli kabisa kujielewa/kujitambua kunamatter katika ndoa na relationships plus enough life expirience....ni kama kuajiriwa tuu expirience matters
 
Duh!! Huu urembo unawapeleka resi hawa dada zetu can you imagine mdada wa 35+ anaenda kuchanua miguu ili afanyiwe waxing na kabinti ka 20's!? Amakweli ukitaka cha uvunguni shart uiname. Teh teh teh.....
Ndio...ni mwanamke mwenzangu.
Na hata kama angekuwa mwanaume shega tu mbona.
Usafi haunaga cha umri wala nene
Au vepe!!!
 
Kuna ukweli flani in all this. At age 30+, mwanamke unakua unajitambua zaidi, uchumi unakua poa zaidi, u know nini Unataka maishani, na mengineyo mengi tu.

Niliacha kuajiriwa at age 30, niliiona Kabisa ninavyomtajirisha boss wangu. Kuna Mwezi nilitengeneza Faida ya US dollar laki 1, kwa kampuni nilioajiriwa. Niliambulia kuwekwa Kua employee of the month na vocha ya Kwenda kula dinner for 2, kwenye mgahawa Mzuri. Nilikua na miaka 28.

Siku nilivyoingiza miaka 30, nilichukua savings Zangu, nikaenda Europe, nikala Bata refu kwa Mwezi mzima, ni karudi na kutoa 24 hour notice, nikaacha kazi.

Nilishajitambua na sikua na WOGA wa kuingia Mtaani. Nilijua thamani yangu na uwezo wangu wa ku hustle, nilishaiona Dunia, uchumi ulikua better kuliko nilivyokua in my 20s, I dressed better sababu ya exposure na vitrips vingi vya hapa na pale, I enjoyed dating sababu nilikua nadate watu wanaoeleweka.

Kwa kweli 30+ has been a blessing
 
Ila lara 1 Kuna angalizo sijui niliwekeje,but Kuna some women huwa wana katabia Kakupreach 'umiss independent' jambo dogoo mtu anawaka ohh me miss independent usinibabaishe blah blah
Sijui jmn ila wanaume wanapenda wawe km wafalme yani raha yake umuadmire wee,Uwe unamtakaa wee
Hata km mwanamke una vyako naona sio vzuri kuhubiri/kuvitumia kumnanga mwanaume wako,being a woman also means being soft to ur man
Over km mmenisoma...
��UMEWASILISHA HOJA MURUA ILA SIDHANI KAMA ATAKUELEWA. Wanawake wa aina yake wamejidhatiti kujilinganisha na wanaume wakidhani ndo wanakweza hadhi zao ila ukweli usemwe nothing shuts down a man's
 
Back
Top Bottom