fundiaminy
JF-Expert Member
- Jun 4, 2009
- 354
- 52
Jamaa flani aliezoea sana kushinda FACEBOOK alipigiwa cmu kuwa mkewe kafariki na kwamba anatakikana haraka fasta aende akamtambue kama ndie kweli mkewe...jamaa kadaisha "aisee nipo bize sanaaa hebu mpigeni picha na muiupload Facebook na mnitag kama ndie nitagonga "LIKE"...ebwanawee! Fb noma.