Metaverse ya Facebook ipo since 2007umewahi kuishi hata south africa ! tu.
wenzetu kupenda sheria ni hatari .
huku kwetu unaweza kula mkeo mda unaotaka na asikufanye chochote ila kule ukifanya hivo hata kama unawatoto kumi naye unakufungulia kesi ya kubaka.
Mleta mada kuna kitu hukijui. Iko hivi;sijui kwa nini facebook alikurupuka kutengeneza logo ambayo kumbe ni ya kampuni nyingine.
hawa watu wanamsubiria kutambulisha na kumfungulia kesi waje kumfilisiView attachment 1993456
View attachment 1993457
Wakuu kuwa "inspired" kuna maana kubwa sana. Hata siku moja huwezi kushtakiwa kwa kuwa inspired na kazi ya mtu mwingine.
Utashtakiwa endapo utatumia logo na jina la kampuni, kwa sababu unaweza tumia jina lao ukatoa huduma mbovu na kuharibu reputation ya jina la kampuni.
Kama unakumbuka enzi zile wachina wanamkopi Nokia. Walikuwa wanatengeneza simu ya kufanana kabisa na Nokia lakini jina watabadilisha. Wataita labda Nakia n.k
Hata viatu vya brand vinakopiwa sana lakini lazima watabadilisha jina la kampuni. Mf. kwenye logo ya kiatu kampuni ya Balenciaga. Kikiwa fake watatumia inspiration ya logo lakini watabadili brand name, kuepuka kukamatwa kwa kuiharibia kampuni jina.
Hiyo ni mifano tu mkuu kukupa picha halisi.
Swali zuri mkuu. Nina mfano wa logos za labels maarufu za muziki zilizokuwa inspired na Makampuni makubwa tu, Jordan (Jumpman logo) na Rolls Royceunaweza kutumia nike au jodani
Mleta mada kuna kitu hukijui. Iko hivi;
Hii nembo au symbol
View attachment 1993690
inaitwa "infinity symbol". Hii ni logo ambayo haimilikiwi na MTU yeyote yule, its a mathematical symbol thus anyone can use it.
Ni kama vile alama ya "+" ambayo haimilikiwi na MTU ,yaani hakuna mwenye hati miliki ya nembo hizo.
Alichokifanya mmiliki wa facebook ni kuongeza jina la kampuni yake (METAVERSE) kwenye nembo ya "infinity".
Zuckerberg ana akili na wala hajakurupuka. Hata wewe pia uko huru kuanzisha kampuni yako na ukaipa jina unalotaka na ukaitumia nembo ya "infinity" bila ya kusumbuliwa na MTU yeyote sababu nembo hakuna anayeimiliki hapa duniani.
Soma hiyo sentence hujaielewa vizuri , soma paragraph nzima ndo utaelewa , 'may be they will be inspired by our data too' yaani kama wameweza kuiba logo , maana yake wanaeza iba hata data zao pia , case framing inaanzia hapo.Kuwa 'inspired' ndo kuiba? We jamaa.!
Isome hiyo paragraph yote ,' inspired' iliyotumika hapo na maelezo yake ya mbele , hazina maana ya jambo jemaWakuu kuwa "inspired" kuna maana kubwa sana. Hata siku moja huwezi kushtakiwa kwa kuwa inspired na kazi ya mtu mwingine.
Utashtakiwa endapo utatumia logo na jina la kampuni, kwa sababu unaweza tumia jina lao ukatoa huduma mbovu na kuharibu reputation ya jina la kampuni.
Kama unakumbuka enzi zile wachina wanamkopi Nokia. Walikuwa wanatengeneza simu ya kufanana kabisa na Nokia lakini jina watabadilisha. Wataita labda Nakia n.k
Hata viatu vya brand vinakopiwa sana lakini lazima watabadilisha jina la kampuni. Mf. kwenye logo ya kiatu kampuni ya Balenciaga. Kikiwa fake watatumia inspiration ya logo lakini watabadili brand name, kuepuka kukamatwa kwa kuiharibia kampuni jina.
Hiyo ni mifano tu mkuu kukupa picha halisi.
That company wont do a single thing bro. Nimepost mifano hapo juu.Isome hiyo paragraph yote ,' inspired' iliyotumika hapo na maelezo yake ya mbele , hazina maana ya jambo jema
Sawa mkuu , ngoja tuoneThat company wont do a single thing bro. Nimepost mifano hapo juu.
Ni kweli kogo haifilisi Ila logo itamfilisiFacebook haiwezi filisiwa kwa sababu ya kogo tu
Unajuwa hata Manchester United wameiga jezi za Simba?sijui kwa nini facebook alikurupuka kutengeneza logo ambayo kumbe ni ya kampuni nyingine.
hawa watu wanamsubiria kutambulisha na kumfungulia kesi waje kumfilisiView attachment 1993456
View attachment 1993457
Kwani alama ya tiki ina haki miliki? Chenye haki miliki ni neno "NIKE" lakini ile alama ya tiki hakuna anayeimiliki.Kwahyo hata Nike unaweza kuikopi kwasababu Ile Ni tick Tu?
Nike Ni kisukuma Kwa Kiswahili maana yake 'nishuke'Kwani alama ya tiki ina haki miliki? Chenye haki miliki ni neno "NIKE" lakini ile alama ya tiki hakuna anayeimiliki.
Fahamu kwamba kuna symbols au alama ambazo ni universal yaani hazimilikiwi na mtu au kampuni yeyote ile. Mtu yeyote anaweza kuzitumia alama hizo kwenye jina la biashara yake.
Wewe unaweza ukaanzisha kampuni yako ya viatu na ukatumia alama ya tiki ili mradi tu usiviite NIKE utakuwa hujavunja sheria.
Haya ngoja tusubiri kufilisika kwa FacebookNi kweli kogo haifilisi Ila logo itamfilisi