facebook account

SWEET GIRL

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2011
Posts
520
Reaction score
377
salaam,
jamani naombeni msaada kwani kuna mtu anatumia jina langu kwnye facebook akijifanya ni mimi.sijajua lengo lake bado.sina utaalamu sana na mambo ya facebook je nifanyaje ili asiendelee kuchafua jina langu.nahitaji msaada wenu saana wadau kwani nimekosa amani
 
umeprove vipi maana majina yanafanana.......unless kaweka hadi dates yako ya kuzaliwa,unapoishi na unapofanyia kazi na uliposoma,majina pekee sio proof kuwa ni mtu anatumia profile lako,anyway inabidi ujiunge kisha umreport facebook.
 
Reactions: EMT
Umejiridhisha kuwa anaku-impersonate wewe? Manake majina yanaweza kuwa yamefanana.
 
umeprove vipi maana majina yanafanana.......unless kaweka hadi dates yako ya kuzaliwa,unapoishi na unapofanyia kazi na uliposoma,majina pekee sio proof kuwa ni mtu anatumia profile lako,anyway inabidi ujiunge kisha umreport facebook.

Hilo nalo neno. Members zaidi ya milioni mia tano lazima majina yafanane.
 
Loading...100% khaaa! Acha kutuzingua jina lenyewe umecopy kwa watu weupe kwa nini lisifanane ?
 

Prove mi ur SWEETNESS.
 
Sio labda ni X-Boyfr wako ulimpaga password kipindi mpo pamoja mapenzi yamekolea??
Kama ndivyo badilisha password
 

unamfahamu huyo mtu? Hukumpa password?
 
umejuaje kama ni jina lako na siyo lake?
 
Bora wewe jina, mimi mtu anatumia picha zangu.
 
Acha bange wewe mtoto,umejuaje kama anatumia jina lako? Profile pic ni ya kwako,details zote ni za kwako? Anakuchafua kivipi? Kaoge kwanza
akili ichangamke
 
Maelezo yako hayajakamilika ndio maana tunashindwa kuchangia vizuri. Tunashindwa kuelewa anatumia jina lako kivipi!
 
Sio labda ni X-Boyfr wako ulimpaga password kipindi mpo pamoja mapenzi yamekolea??
Kama ndivyo badilisha password

yawezekana kiukweli usijisahaulishe
 
Mbona mtoa mada mwenyewe katoweka au PACKAGE imekata?
 

Njia pekee ya kumkomesha huyo mtu ni kudelete his or her facebook account. Ni PM ili nikuelekeze jinsi ya kudelete his or her facebook account.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…