SWEET GIRL
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 520
- 377
umeprove vipi maana majina yanafanana.......unless kaweka hadi dates yako ya kuzaliwa,unapoishi na unapofanyia kazi na uliposoma,majina pekee sio proof kuwa ni mtu anatumia profile lako,anyway inabidi ujiunge kisha umreport facebook.
salaam,
jamani naombeni msaada kwani kuna mtu anatumia jina langu kwnye facebook akijifanya ni mimi.sijajua lengo lake bado.sina utaalamu sana na mambo ya facebook je nifanyaje ili asiendelee kuchafua jina langu.nahitaji msaada wenu saana wadau kwani nimekosa amani
salaam,
jamani naombeni msaada kwani kuna mtu anatumia jina langu kwnye facebook akijifanya ni mimi.sijajua lengo lake bado.sina utaalamu sana na mambo ya facebook je nifanyaje ili asiendelee kuchafua jina langu.nahitaji msaada wenu saana wadau kwani nimekosa amani
umejuaje kama ni jina lako na siyo lake?salaam,
jamani naombeni msaada kwani kuna mtu anatumia jina langu kwnye facebook akijifanya ni mimi.sijajua lengo lake bado.sina utaalamu sana na mambo ya facebook je nifanyaje ili asiendelee kuchafua jina langu.nahitaji msaada wenu saana wadau kwani nimekosa amani
Sio labda ni X-Boyfr wako ulimpaga password kipindi mpo pamoja mapenzi yamekolea??
Kama ndivyo badilisha password
Bora wewe jina, mimi mtu anatumia picha zangu.
Bora wewe jina, mimi mtu anatumia picha zangu.
salaam,
jamani naombeni msaada kwani kuna mtu anatumia jina langu kwnye facebook akijifanya ni mimi.sijajua lengo lake bado.sina utaalamu sana na mambo ya facebook je nifanyaje ili asiendelee kuchafua jina langu.nahitaji msaada wenu saana wadau kwani nimekosa amani