Facebook:::A few minute near Tandale

Si wako busy wanaponda fb? Ila kila kukicha wanaomba fb name, ku-pm humu wanamuogopa eliza wa salasala,lol


Neno hilo watu wanafiki kweli,ndo maana nikadeclare kwamba mi natumia fb lkn kuna watu kama kina dar si lamu hawataki kukubali wakati wana accounts fb hata nne
 
Mimi natumia Blackberry hiyo option ni rahisi tu, sijui kwa kwa wanatumia PC au simu zingine zaidi ya Blackberry kama inawezekana. Ila kwa PC nafikiri ni vigumu. Subiri watalaam watakueleza

Ok kumbe ni kuiset tu na kama hautaki haiji,mie nilijua inakuja auto.
 

Ushauri mzuri
 
Huyo Eliza wa Tegeta ni Member humu Jamvini?
Naona anatajwa sana kwenye hii thread
 


Mpwa umenichekesha sana.... Ngoja nikaodoe hiyo option kabla sija fumaniwa!
 
Reactions: EMT
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…