King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,721
- 68,726
- Thread starter
-
- #21
Si wako busy wanaponda fb? Ila kila kukicha wanaomba fb name, ku-pm humu wanamuogopa eliza wa salasala,lol
Mimi natumia Blackberry hiyo option ni rahisi tu, sijui kwa kwa wanatumia PC au simu zingine zaidi ya Blackberry kama inawezekana. Ila kwa PC nafikiri ni vigumu. Subiri watalaam watakueleza
Mimi natumia Blackberry hiyo option ni rahisi tu, sijui kwa kwa wanatumia PC au simu zingine zaidi ya Blackberry kama inawezekana. Ila kwa PC nafikiri ni vigumu. Subiri watalaam watakueleza
yap mpaka uwe na blackberry
Aku PM nini sasa wakati jibu linawekwa hapa? watoto mnapenda PM nyinyi...
Hata ukijua, sidhani kama itakusaidia sana maana Fesibuku wanaindoa anyway. Kwa usalama sio nzuri kwa sababu mtu anaweza kufuata nyendo zako. Kama kwenye Tandika, halafu status yako inasema uko Mbagala na kuna mwizi anakufuatilia anaweza kwenda kwako na kufanya kweli. Pia kwa wale watu wa nyumba ndogo au vidumu hawakufurahishwa na hili. Mtu umeaga unakwenda Kigamboni halafu status yako inaonyesha uko Tegeta possibly kwenye nyumba ya wageni?
kweri eliza anawafaa
Ukipata naomba uni PM me pia nataka kujua inakuwaje mwaya.......
yap mpaka uwe na blackberry
Hata ukijua, sidhani kama itakusaidia sana maana Fesibuku wanaindoa anyway. Kwa usalama sio nzuri kwa sababu mtu anaweza kufuata nyendo zako. Kama kwenye Tandika, halafu status yako inasema uko Mbagala na kuna mwizi anakufuatilia anaweza kwenda kwako na kufanya kweli. Pia kwa wale watu wa nyumba ndogo au vidumu hawakufurahishwa na hili. Mtu umeaga unakwenda Kigamboni halafu status yako inaonyesha uko Tegeta possibly kwenye nyumba ya wageni?