Mwinjilist mtume nabii
JF-Expert Member
- Feb 21, 2015
- 2,437
- 1,097
jamani ivi level hii ya akina myweather ndio ile ya mabingwa akina lenox,au tyson?? ivi "mike iron tyson" akisema aombe pambano na manny pacquiao au myweather wanaweza kusubutu?? kwan bingwa wa kumi kwa sasa duniani wa uzito wa juu badala ya akina "evander hollfield","lenox lewis", "mike tyson" ni nani? maana baada ya kustaafu hao ulimwengu wa ngumi nao ulikufa hakukuwa na ushabiki tena... hebu tuelezen wataalam wa masumbwi