Mwambieni maige aridhike na ubunge wake,alichaguliwa na wanamslala kuwa mbunge,uwaziri aliteuliwa tu kwa utashi wa mh.rais,isiwe nongwa kuukosa,kila siku lawama,lawama,na kujivuna alifanya hiki na kile,haitamsaidia kitu,atimize wajibu wa wapiga kura wake ili uchaguzi wa mwakani arudi bungeni,ni ujinga tu kudhani alionewa,kila siku kulialia tu,maana alishajiona eti naye anatosha kuwa rais wetu,tulishakusahau maige jamani,amini kwamba wewe sii waziri na jk hana sababu ya kukurudisha ndani ya baraza,tumezichoka lawama zako bhana,kama vipi nenda mahakamani ukaudai uwaziri wako,na zaidi ya yote,huna cha kujilinganisha na kagasheki ,sema tu uwaziri uliupata kama zari la mentali.