Mzee wa Wima
JF-Expert Member
- Mar 20, 2016
- 537
- 296
Habari wadau, Natumai jumapili imeisha salama, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naomba kwa yeyeyote ambayo anauza au anafahamu naweza kupata wapi Case kwa hd hii anaweza nijuza, mana nimejitahidi kutafuta maeneo ya kkoo bila mafanikio, aliyekuwa nayo na tayari anataka kufanya biashara anitumie PM. Nawasilisha.