External hard disc anguka na kusabisha kutokusoma

External hard disc anguka na kusabisha kutokusoma

zedga

Member
Joined
Jun 2, 2015
Posts
45
Reaction score
14
Samahani wanajukwaa nimepatwa na tatizo la external harddisc inaukubwa GB 7500 yangu kuanguka na kusabisha kutokusoma. Nimewaona mafundi kadhaa sijapata msaada wowote. Kwa mwenye ufahamu plz naomba msaada kurejesha data zangu muhimu.
 
Samahani wanajukwaa nimepatwa na tatizo la external harddisc inaukubwa GB 7500 yangu kuanguka na kusabisha kutokusoma. Nimewaona mafundi kadhaa sijapata msaada wowote. Kwa mwenye ufahamu plz naomba msaada kurejesha data zangu muhimu.

It’s difficult or to some extent impossible to recover it , since according to your explanation the header of the hard disk may be broken as a result of falling down.
 
hard disk haitakiwi kuangishwa au kugongwa kwa namna yoyote.
 
'read/write header' imepata shock na kutoka sehemu yake, ni mtiti kidogo kutafuta fundi mzuri kuibadili
 
'read/write header' imepata shock na kutoka sehemu yake, ni mtiti kidogo kutafuta fundi mzuri kuibadili
Sahihi, wengi wanaweza kula pesa yako na kuiharibu zaidi. Its better umpate ajuaye . If me ningeifungua na kubaini tatizo NDO naenda kwa mtaalam wa hardware
 
Sahihi, wengi wanaweza kula pesa yako na kuiharibu zaidi. Its better umpate ajuaye . If me ningeifungua na kubaini tatizo NDO naenda kwa mtaalam wa hardware
Kiongozi siwezi kupata msaada kabisa
 
Kama platter imepasuka au ku kwaruzika hiyo tupa tu Ila kama uko fresh read/write head sio issue data zako utapata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom