kachumbari
Senior Member
- Nov 1, 2010
- 126
- 9
Leo italia wameingiliwa mabomu yamelipuka kwenye ubalozi wa uswiss na chile na yote yametumwa kwa parcel.hii imekaaje?
hizi bomu za mtandao wa rostam aziz afrika mashariki kwenda kuwadhuru ndugu zetu wa-uganda tukayajadili kiundani kwanza ndio tuvuke bara letu. Na italia (jirani na makao makuu ya kanisa katoliki duniani) inapopigwa bomu kwenye parcel, harufu gani inakuingia puani hapo?????
Wenzetu wa chile na italia poleni sana kwa hayo mashaibu.
Haya jingine wamelishtukia UBALOZI WA UKRAINA arcoding to REUTERS FLASH - Suspect package found in Ukrainian embassy in Rome - ANSA
Leo italia wameingiliwa mabomu yamelipuka kwenye ubalozi wa uswiss na chile na yote yametumwa kwa parcel.hii imekaaje?
juzi kule mbeya watu kadhaa waliteketea kwa moto wakati basi lao liliposhika moto,na siku ya nyuma yake wengine kule shinyanga.ikiwa nimekosea kidogo unaweza kusahihisha.muhimu zaidi kwangu ni huu ujuha wako mambo ya wazungu kuyafanya makubwa hata kama si lolote.
wafuasi wa allah hao
allah matatizo.
bora nikakae kijijni, nife na jembe huku nikinyonywa na mafisadi! aah, hapana,bora bomu kuliko fisadi!