kama kuna ukweli ndani ya haya maneno,basi balaaa yaani karibia napata expiry date???na wakati sijayala maisha bado vizuri???hii kareeee
On average;
Muda wa kupendeza na kuenjoy maisha 20-28 yrs
Above 28 year, choka mbaya..
kama kuna ukweli ndani ya haya maneno,basi balaaa yaani karibia napata expiry date???na wakati sijayala maisha bado vizuri???hii kareeee
Research ya nini wakati mtu mwenyewe aliyetoa hii post anajiita "mwendawazimu2"?? Unategemea akirudia research ndiyo atakuja na matokeo mazuri kweli?Naona urudie tena research