Experience yangu na wanawake wanaoitwa jina Flora

Experience yangu na wanawake wanaoitwa jina Flora

Akina Flora wengi wanakuwaga wapiganaji sana kwenye maisha.

Wengi wanakuwaga smart sana kwenye mapambano ya maisha.

Na wengi wao huwa wanafanikiwa sana kiuchumi.

Sijawahi kumfahamu mwanamke anae itwa Flora ambae sio mpiganaji kwenye maisha.
Dah!... Hii Kali... Kwenye hiyo list ya akina frola... Na frola machepele nimjuaye nae yumo!?
 
Ni wapambanaji, heartbrokers na malaya sana wa kimnya kimnya.

Akijipata hawezi kaa na mwanaume mmoja
 
Akina Flora wengi wanakuwaga wapiganaji sana kwenye maisha.

Wengi wanakuwaga smart sana kwenye mapambano ya maisha.

Na wengi wao huwa wanafanikiwa sana kiuchumi.

Sijawahi kumfahamu mwanamke anae itwa Flora ambae sio mpiganaji kwenye maisha.
Labda Flora wako, sio huyo niliekua nae angeniua yule mtoto kudadeki..

Sema kuna mmoja nae nlkua nae miaka kadhaaa alkua Flora alkua vizuri kweli ila sio wote wako hivyo..
 
Namkumbuka mwanafunzi mwenzangu alikuwa anaitwa flora,tulisoma nae kidato cha kwanza then akaacha baada ya muhula wa kwanza wa masomo,yule dada nilimpenda sana sana,nilikuja kusikia wazazi wake walihama ndio maana akaacha shule na akaolewa nililia sana kutokana na taarifa hiyo.
Ni mwanamke wa kwanza kumpenda katika maisha yangu,popote ulipo flora nakuomba ujitokeze my wangu.
 
Back
Top Bottom