Experience yangu kama baby moma

Experience yangu kama baby moma

Mm ni mrefu, lakin sipendi tu hiyo tabia yenu
Hahaaaa eti hupendi hata sisi wanawake tuna vigezo vyetu vya Ku chose. Kwanini wewe ukienda kununua nguo siunaangalia inayokukaa vizuri na kuku fit kulingana na vigezo vyake.
 
Ndio hawana alama ila kujiachia na MTU asiye na future ni hatari mno. Wanaume ni selfish mno
Wanaume wenye future ni wale tunao wadhalau iwe mwanaume au mwanamke, kibinadamu mtu yeyote akiona anapendwa sana hupata kibulii.
Hata wadada wengi wanzr sana kuolewa inakuwa shida kwa kujiona
 
Wanaume wenye future ni wale tunao wadhalau iwe mwanaume au mwanamke, kibinadamu mtu yeyote akiona anapendwa sana hupata kibulii.
Hata wadada wengi wanzr sana kuolewa inakuwa shida kwa kujiona
I mean watu wenye future
 
Ndio hawana alama ila kujiachia na MTU asiye na future ni hatari mno. Wanaume ni selfish mno
Hii ya kufanya tendo la ndoa kabla ya ndoa au kutambulishwa/kutambulisha kwa wazazi, refa huwa ni mwanamke. Hakuna mwanaume atakushikia panga eti umemnyima.
 
Wanaume wenye future ni wale tunao wadhalau iwe mwanaume au mwanamke, kibinadamu mtu yeyote akiona anapendwa sana hupata kibulii.
Hata wadada wengi wanzr sana kuolewa inakuwa shida kwa kujiona
Wala tu hamna mwanaume au mwanamke anayedharaulika wala kudharaulika haku determine future nzuri. Pia kiburi ni tabia tu ya MTU jinsi alivolelewa kuna wanaopendwa na yet wanajiheshimu hawadharau MTU. Pia life halina principles hao wazuri ukiona hawaolewi ujue hawajapata MTU sahihi wa kuwaoa.
Mbona hata wabaya huoa na kuolewa kuanzia wafupi ukiona HVO ujue walipata perfect choice na match ya real life. Ndo mana kila mtu ana criteria zake akiongeza na upendo basi kitu INA tick.
 
Ulivyosema Sinza, nikashtuka kidogo... ila ukasema ni mlevi sana... nikajisemea huh kumbe siyo mimi... sijawahi gusa pombe...
 
Itaendelea au?? Hii imekaa kama Nshomire hivi!!! Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
 
Wala tu hamna mwanaume au mwanamke anayedharaulika wala kudharaulika haku determine future nzuri. Pia kiburi ni tabia tu ya MTU jinsi alivolelewa kuna wanaopendwa na yet wanajiheshimu hawadharau MTU. Pia life halina principles hao wazuri ukiona hawaolewi ujue hawajapata MTU sahihi wa kuwaoa.
Mbona hata wabaya huoa na kuolewa kuanzia wafupi ukiona HVO ujue walipata perfect choice na match ya real life. Ndo mana kila mtu ana criteria zake akiongeza na upendo basi kitu INA tick.
Haya bwana
 
Hii ya kufanya tendo la ndoa kabla ya ndoa au kutambulishwa/kutambulisha kwa wazazi, refa huwa ni mwanamke. Hakuna mwanaume atakushikia panga eti umemnyima.
Kwani mwanamke hujizini mwenyewe tu au huwa ana zini na mwanamke. Haya mambo ni ya wote wawili kwa vile dunia ya sasa watu especially vijana wansjiona wa digital ndo haya yanatokea. Maandiko yanasema ikimbie zinaa.
 
Kwani mwanamke hujizini mwenyewe tu au huwa ana zini na mwanamke. Haya mambo ni ya wote wawili kwa vile dunia ya sasa watu especially vijana wansjiona wa digital ndo haya yanatokea. Maandiko yanasema ikimbie zinaa.
Naona sijaeleweka .
 
Hahaaaa eti hupendi hata sisi wanawake tuna vigezo vyetu vya Ku chose. Kwanini wewe ukienda kununua nguo siunaangalia inayokukaa vizuri na kuku fit kulingana na vigezo vyake.
Hakuna haja ya kulalamika wakati umechagua mwenyewe tena kwa vigezo ulivyoviweka ambavyo unaamini ni sahihi. Jambo lolote negative likitokea ujilaumu mwenyewe kabla ya kumlaumu mwingine kwani bila wewe hayo yasingetokea.
 
Ndiyo kuwa single mom si jambo rahisi hata kidogo,furaha yangu yote niliyokuwa nayo zamani imetoweka.hata mie nilidhan ni kazi ndogo tu.

Kazi kubwa naona ushaivuka.. usiruhusu furaha itoweke, huo ndo mwanzo wa kufanya usiyoyakusudia!!!

Sometimes pata muda fanya yanayokufurahisha... kuwa na mtoto isiwe sababu ya kujinyima furaha
 
Nafikiri moja ya tatizo kubwa sana kwa baadhi ya wasichana ni kutokujitambua ni nini wanahitaji ktk kipindi cha ujana kuelekea utu uzima. Kuringa kwingi, wakati mwingine kiburi kujiona na majivuno~wapo baadhi ya me hutumia kila aina ya mbinu kuwapata ke wenye tabia za namna hii kwa lengo tu la kuonekana wao ni wajanja, matokeo yake huwaharibia maisha na kufifisha ndoto zao. Jitambueni na kumtegemea Mungu zaidi ili kufikia malengo mliyojiwekea
 
huwa nachukia sana kuona mwanamke anakupenda kweri kwa nia ya kutaka kufanya life na wewe araf mwanaume unamuongopea kwa kwenda kuoa mwingne mara nyingi hii hupelkea wanawake wengi kuwa sugu moyoni(roho mbaya katika mapenxi)7bu hapo babyboma jins ulipofikia mpk uruhusu kupenda kweri mwanaume inabidi boy afanya kazi ya ziada kwerikweri

araf mnaoponda kihusu kuchagua ooh mnapenda maboy wa zuri au magero wa zuri kusema ukweri huwezi kufanya maisha na mwanamke au mwanaume asiyekuvutia hata kama ni mzuri kiasi gan kila mtu ana vigezo vyake kwa mwenzi anayetaka kufanya naye maisha mfn mm demu hata uwe na figa nzuri kiasi gani yaan kitendo cha wewe kujichubua tu na mkorogo kwangu huwezi kupata nafasi hata ya kukumbatiana na pia haiwezekani mtoto mzuri wa mjini akatoka na mbugilambugila anayepiga pamba ka za kofi olomide bwana !

sasa nini cha kufanya kwa magero ukimpenda boy ukahisi ana sifa za kuwa mumeo usijilahisishe ukampa K ng'ang'ania ndoa kama kakupenda atakuoa tu ka kipindi kile wakati zamani na kauli za kishujaa (hatufanyi mpk tuoane)

maMEN je msikimbilie Kutaka K kwanza wala msimwage ahadi nyingi msizoweza kuzitekeleza kuwa NATURAL kwa hali ya maisha yako uliyo nayo tu yaan pia msionge sana MKE MWEMA ANUNULIWI

Babymoma Piga moyo konde lea mwenyewe mtoto hata kuja kukutunza UZEENI midhari unaweza kujimudu mshkuru MUNGU na muombe siku zote yeye na mtumaini yeye
wapo wanaume wengi tu wanahitaji mwamamke kama wewe naimani utapata huu mwaka hautaisha Trust Me dada !!


huyo boy alokutenda atapigwa na laana ya mapenzi atakujutia maisha yake yote

ila ni baba wa mtoto wako kamwe usimwombee mabayaa
 
Hii iwe fundisho kwa mabinti .mabinti wengi wa sasa wakijiona wanavipesa wanadhani wanaweza wakanunua hadi wanaume mnakosea sana sijasema haurusiwi kupenda no no unarusiwa ila ujiulize mara mbili tatu huyu ambaye na mpenda yeye je ananipenda au ananitamani na vijihela vyangu wanaume wanakuwa wamejiwekea vigezo vyao kwamba mimi ntaoa mwanamke mwenye inyembende bende we wa kihindi unataka kuingia humo utakufaa atakuduu atakuacha tu ni vizuri mwanaume ndo akuonyeshe kukupenda sana we ujifunze kumpenda
 
Back
Top Bottom