Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 7,591
- 23,270
Kweli mkuu,ukitaka umfurahie demu we mhudumie tu hata kama sio pakubwa lakin asilimia 50 uweze kutatua matatizo yakeDelay spray, zime tapakaa madukani kazicheki japo usikurupuke, alafu manzi kumnyoosha dunia ya Sasa ni pesa mkuu, demu ukiwa una solve matatizo yake anakuweka kwenye HISIA ata Tako tatu TU inamkojoza lakini ka we mwenyewe kalunguyeye, mtachokana tu
Mwanzoni niliaminigi mapenzi si pesa, baadae nikagundua mapenzi bila pesa yanapungua nguvu mkuuKweli mkuu, mchawi pesa.
Mkuu na miti shamba usiipuzie hapo ndo Masai na masaharobaro wanapo tupiga baoMazoezi
Maji kwa wingi
Shibe ya kueleweka
Vyakula vya asili
Mapumziko mazuri
Medulla oblongata isiyo na msongo wa mawazo mbalimbalu
Kibaya ni maneno tu hatujaona vitendo ngumu sana mi kuku amini, Kuna mwalimu wa gym, ALIKUA anatuambia nyie miili YENU nyanya sana mtachapiwa fanyeni mazoezi muwe kama Mimi naichapa haswa, ikafikia siku ya kuumbuka, kapigiwa simu na demu walie zaa NAE wanatukanana jamaa kajibanza kumbe si tunasikiliza Kila kitu, demu akasema lione likifua likubwa Tako mbili TU hoi, hata hujui kukojoza bwege wewe, sisi heeee , tangu siku hiyo jamaa aibu kibaoHakuna cha dawa, sijui viagra.
Mimi kila siku asubuhi nakunywa maji ya uvuguvugu. Kla siku napata punje 3 za Vitunguu Saumu na pia nakula chocolate mara kwa mara.
Na kwenye kupiga mzigo cha kwanza naunganisha. Inatokea mzigo.umeondoka baada ya masaa machache Kitimoto kasimama tena anataka tena!
Chai hizo usiwaamni tatizo la nguvu za kiume lipo kwa ukubwa sana siku hizi asikudanganye mtuHahaha atakuja mwingine atasema akila punje 2 za mchele anakaa kifuan masaa 4 sijui mleta mada ashike lipi kat ya haya
Anakuheshimu anakuona mungu mtu mzeeKweli mkuu,ukitaka umfurahie demu we mhudumie tu hata kama sio pakubwa lakin asilimia 50 uweze kutatua matatizo yake
😁😁Delay spray, zime tapakaa madukani kazicheki japo usikurupuke, alafu manzi kumnyoosha dunia ya Sasa ni pesa mkuu, demu ukiwa una solve matatizo yake anakuweka kwenye HISIA ata Tako tatu TU inamkojoza lakini ka we mwenyewe kalunguyeye, mtachokana tu
Hii ni sahihi 100%Hakuna cha dawa, sijui viagra.
Mimi kila siku asubuhi nakunywa maji ya uvuguvugu. Kla siku napata punje 3 za Vitunguu Saumu na pia nakula chocolate mara kwa mara.
Na kwenye kupiga mzigo cha kwanza naunganisha. Inatokea mzigo.umeondoka baada ya masaa machache Kitimoto kasimama tena anataka tena!
MKUU EBU NIJUZE HUO MFETERE NAUPATA WAPI MWAMBATafuta mfetere ila hii unapakwa kwenye matako ya mwanaume ndo unapiga gemu vizuri sasa.Katafute hii utaleta mrejesho apa
Ukizoea kutumia dawa, huko Mbeleni mzigo utakata moto mazima, kusoma mnara itakuwa sifuri tuuLakini, je madhara kwa watumiaji inakuaje huko mbeleni.
Kupata haya yote inatakiwa uwe umejipata kwakweli.Mazoezi
Maji kwa wingi
Shibe ya kueleweka
Vyakula vya asili
Mapumziko mazuri
Medulla oblongata isiyo na msongo wa mawazo mbalimbalu