Heshima yenu ndg wanajf.
Nimekuwa nikitafuta benki yenye Fixed Deposit A/C yenye RATE nzuri, na wakati nikiwa EXIM Bank naongea nao kuhusu rates zao ya kwamba ni higher than other banks ambazo nimepita kuangalia, though i told them am not yet convinced to deposit my money for 2 yrz then just grow for only 5%.
So yule Marketing Manager alipoona siko-convinced akaniambia waweza fungua akaunti inayoitwa RECURRENT DEPOSIT A/C ama HABA NA HABA ambayo ukiweka mfano 500,000/- (laki tano) within miezi 12 itakuwa 6,000,000/- (milioni sita).
Sasa ninawauliza wanajf hiyo ni kweli au ni mambo yale ya DECI?
I didnt believe and if its TRUE please tuchangamkieni guyz
Please mwenye UELEWA anijuze jamani, nisijedampo my money then at the end of the day naambiwa bcoz of economic reasons it didnt grow to that 6M.
Nimekuwa nikitafuta benki yenye Fixed Deposit A/C yenye RATE nzuri, na wakati nikiwa EXIM Bank naongea nao kuhusu rates zao ya kwamba ni higher than other banks ambazo nimepita kuangalia, though i told them am not yet convinced to deposit my money for 2 yrz then just grow for only 5%.
So yule Marketing Manager alipoona siko-convinced akaniambia waweza fungua akaunti inayoitwa RECURRENT DEPOSIT A/C ama HABA NA HABA ambayo ukiweka mfano 500,000/- (laki tano) within miezi 12 itakuwa 6,000,000/- (milioni sita).
Sasa ninawauliza wanajf hiyo ni kweli au ni mambo yale ya DECI?
I didnt believe and if its TRUE please tuchangamkieni guyz
Please mwenye UELEWA anijuze jamani, nisijedampo my money then at the end of the day naambiwa bcoz of economic reasons it didnt grow to that 6M.