hayo ndo madhara ya kutosikiliza kauli za viongozi. si lukuvi amewaambia?
Hahaha .. hii ni uhakika kabisa kuwa chadema imetoa wafuasi wake kafara. Hii dxhambi haitawaacha.
Jaman watanzania wenzangu, hembu tukumbushane kidogo jambo hili... "TANZANIA NI NCHI YENYE UTAJIRI MKUBWA SANA WA RASIMALI IKIWEMO GESI NA NISHATI ZNGNE. KWANINI TUSIFIKIRI KWAMBA JAMBO HILI HALIHUSIANI NA SIASA? WAPO WANAODAI KUWA NA UHAKIKA NA USHAHIDI WA JAMBO HILI JE NI KWELI AU NI KUTAFUTA UMAARUFU WA KISIASA?" Naombeni mawazo yenu wakuu.
Najua kuna mijitu imekuja imetoa mimacho kwenye hii video ili iwapunguzie kihoro walichonacho,
ili kuujua ukweli CDM walionao,wamekuta hola hakuna sura ya mapolisi gaidi,bado wakati wake hii
lengo ni kuwafanya mjue nini kilitokea,lakini ile ya magaidi mapolisi endeleeni kukaa na pressure zenu,
mpaka wakati mwafaka na mahali mwafaka utatolewa.Pole Chagonja na wenzio waliokutuma waambie
kibarua cha safari hii kigumu'
Video ya Lwakatare mnaikataa hii Mbowe mnaikubali mnawachanganya Watanzania.