Exclusive: Video ya mlipuko wa bomu Arusha

Exclusive: Video ya mlipuko wa bomu Arusha

Kwani lazima kila kitu uchangie? sometimes silence is the best tool

Nilishasema kwenye thread yangu yenye kichwa cha habari "Si kila thread lazima uchangie" watu wakaniponda kumbe leo nimepata mwenzangu....Thank you mkuu.....
 
Kumbe bomu lililipuliwa ili msafara wa chadema usifanikiwe .. Angalia lema anamaliza kwamaba watakuwa wanaenda tanapa sakina shamsi hilo ndo lilisababisha .... Kupiga bomu kunyima msafara huoo

that true fact[/
QUOTE]

Lema atausababishia madhara makubwa sana mji wa Arusha........
 
kusoma hujui, hata picha nayo huelewi maudhui? kweli bdo ujinga ni janga kubwa ktk taifa letu
 
Video ya Lwakatare mnaikataa hii Mbowe mnaikubali mnawachanganya Watanzania.

Naona unafuatilia kwa karibu sana! Hamjui mambo mengi kijana, usiwe na wasiwasi watanzania wataamua ipi ya ukweli ipi feki.
 
Ile ya Rwakatare alikuwa anachezesha mikono na kujifuta makamasi kila wakati na kujichokona pua, haina tofauti na hii, mbona ile mliipinga kwa nguvu zote mkadai imetengenezwa, je hii sisi wananchi tutaamini vipi kama ni video ya ukweli! chadema mnatuchanganya, baada ya kuona mmezidiwa mmekuja na hoja mlikuwa na CCTV mbona kuna kazi! yaani nilistushwa mlivoikataa ile video ya Rwakatare mpaka nikaogopa!
 
Najua kuna mijitu imekuja imetoa mimacho kwenye hii video ili iwapunguzie kihoro walichonacho,
ili kuujua ukweli CDM walionao,wamekuta hola hakuna sura ya mapolisi gaidi,bado wakati wake hii
lengo ni kuwafanya mjue nini kilitokea,lakini ile ya magaidi mapolisi endeleeni kukaa na pressure zenu,
mpaka wakati mwafaka na mahali mwafaka utatolewa.Pole Chagonja na wenzio waliokutuma waambie
kibarua cha safari hii kigumu'
 
sasa hii video inaonesha nini zaidi? Mnajichanganya sana mara video zilifungwa sehemu lakini hii inaonekana imechukuliwa na mtu ndio maana haijatulia ila ile iliyoletwa na saanane ni zaili mchukuaji alijua mchezo wote ndio maana alimchukua Lema na Mbowe kwa mbele tena bila ya kuyumba yumba

Mungu ibariki Tanzania na waangamize mashetani wauwa watu CDM
 
Chama cha kijani wala mjani. Sekretari yote imejaa wala mirungi (Kinana), Wavuta bangi (Mwigulu na Nepi), mateja (waliobaki). Kwao nyesi siku zote huwa ni nyeupe.
 
Uzuri Mungu kaepusha balaa

"To know the enemy is half the victory"
 
Baada ya mlipuko kutokea hakuna polisi anayeonekana kwenye video.

Walikuwa wapi? Walisepa? Kama walisepa ni nani alikuwa anapiga hizo risasi?

Hata aliyekuwa anaomba msaada kwa mic, hakuomba kutoka kwa wanausalama bali kwa "makamanda".

Kwa tukio kama hili nilidhani polisi wangekuwa mstari wa mbele kuokoa na kuwapa watu directions.

Police are part and parcel of any emergecy service. But they were no where to be seen zaidi ya kudaiwa kupiga risasi.

Ni haki umma kujua hizo risasi zilikuwa na nini. Pia walikuwa wanapiga risasi za kujilinda (self-defence) baada ya kuvamiwa?

Kwani Umeambiwa Polisi wao ni maroboti wasikimbie Risasi na Mabomu?au risasi na mabomu na Risasi yanaditect polisi?
 
bunduki hazikufuata immediately zimepigwa baada ya dakika tatu mimi sijui kukimbia ila dakika tatu utanikuta namaliza kilometa. sehemu iliyopigwa bomu ni mbali kabisa na walikokuwa viongozi. wangemtaka mbowe hapo rahisi sana.

Dah, bahati mbaya na hii haionyeshi aliyerusha bomu. Lakini angalau inatoa ushahidi kwamba si kweli kwamba mwenyekiti aliondoka eneo la tukio kwa makusudi kama alivyosema Mwigulu, bali alikuwa anachangisha hela kutoka kwa wanachama. Na pia inaonyesha kwamba milio ya risasi ilifuata immediately baada ya bomu kulipuka na si kweli kwamba polisi walipiga risasi baada ya wananchi kuwafukuzia na kuwapiga kama ambavyo wamejitetea. Ni dhahiri kwamba madhara yalipagwa yawe makubwa kuliko haya. Na uamuzi wao wa kupiga risasi tank la mafuta la gari la matangazo ni dhahiri walitaka kutengeneza mlipuko mbaya ambao ungekuwa na maangamizi ya kihistoria. Tunamshukuru Mungu alizuia tank la mafuta lisilipuke.
Inahuzunisha sana, kutazama hii video.
 
Video ya Lwakatare mnaikataa hii Mbowe mnaikubali mnawachanganya Watanzania.

Hakuna mtanzania anayechanganywa bali wewe ndio unajichanganya.. Hakuna anaeshikiwa akili humu!

Sent from my HTC Desire S using Tapatalk 2
 
Baada ya mlipuko kutokea hakuna polisi anayeonekana kwenye video.

Walikuwa wapi? Walisepa? Kama walisepa ni nani alikuwa anapiga hizo risasi?

Hata aliyekuwa anaomba msaada kwa mic, hakuomba kutoka kwa wanausalama bali kwa "makamanda".

Kwa tukio kama hili nilidhani polisi wangekuwa mstari wa mbele kuokoa na kuwapa watu directions.

Police are part and parcel of any emergecy service. But they were no where to be seen zaidi ya kudaiwa kupiga risasi.

Ni haki umma kujua hizo risasi zilikuwa na nini. Pia walikuwa wanapiga risasi za kujilinda (self-defence) baada ya kuvamiwa?
Nimewahi kuambiwa kwamba ili kuepuka polisi kuhusishwa na vurugu za kwenye vyama sasa wanakaa mbali kabisa
na mkutano unakoendelea. wanaweza kuwa mita kama 100 toka sehemu ya mkutano.

Hata waliokuwa hapo wengi hawakusikia bomu likilipuka, nafikiri hata Mbowe ilimchukua muda kutambua kuna bomu limelipuka.
 
Hahaha .. hii ni uhakika kabisa kuwa chadema imetoa wafuasi wake kafara. Hii dxhambi haitawaacha.
unawadhalilisha wazazi wako mkuu sababu wanaamin wana mtoto mwenye akili timamu sasa mbona unaonekana unawaza kama mtoto anae lilia chuchu????una mdhalilisha zaid maako alie kupa virutubisho vyote lakini bado huna akili au ni usahabiki tu unaokuendeshaa???unajilemaza kifikra we endelea kuigiza huna akili sababu ya posho za nape utakuwa ivoivo milele shauri yako!!!!
 
Baada ya mlipuko kutokea hakuna polisi anayeonekana kwenye video.

Walikuwa wapi? Walisepa? Kama walisepa ni nani alikuwa anapiga hizo risasi?

Hata aliyekuwa anaomba msaada kwa mic, hakuomba kutoka kwa wanausalama bali kwa "makamanda".

Kwa tukio kama hili nilidhani polisi wangekuwa mstari wa mbele kuokoa na kuwapa watu directions.

Police are part and parcel of any emergecy service. But they were no where to be seen zaidi ya kudaiwa kupiga risasi.

Ni haki umma kujua hizo risasi zilikuwa na nini. Pia walikuwa wanapiga risasi za kujilinda (self-defence) baada ya kuvamiwa?

Ilibidi wakae mbali maana wahusika walikuwa hawataki ulinzi wa polisi na walishaonesha kutaka shari toka mwanzo.

Kilichotokea ni kwamba polisi walikuwa standby kwa ajili ya kuzuia fujo kuliko kuokoa maisha.
 
Back
Top Bottom