* Exclusive Scoop *

Mkuu Mlalahoi,

Muungwana na el, walishaachana njia panda siku nyingi sana, isipokuwa tu el alikuwa mjanja sana na ku-delay the process, na ni kutokana na mikakati ya underground ya el kujitayarisha na 2010, muungwana alikuwa amesubiri mkuu ajivishe kitanzi mwenyewe, el aliamini kuwa six atazima ngoma kwa kuzima ripoti, kutokana na ile jamba jamba aliyomtia kwenye kesi ya Malima, and six almost did, lakini hakujua kuwa Mwakyembe, alikuwa amepewa green light na muungwana, maana at one point hata Mwakyembe mwenyewe hakuwa na uhakika kuwa ripoti itakubalika, mpaka alipokwenda kumuona muungwana uso kwa uso na ripoti na kupewa go ahead, six alipotaka ku-punch na gear ya kusafiri, muungwana, alimpigia simu kumuuuliza unakwenda wapi? forget hiyo safari tulia hapo ninakuja, muungwana hakuenda Muhimbili kwa Kubenea bila sababu, na Mwakyembe hakuiweka kwenye ripoti bila sababu, and the rest of the story,

lakini walikuwa wameshaachana njia panda siku nyingi, na sio kwa bahati mbaya muungwana amempa mtu wa idara u-PM, kuna sababu nayo ni el!

Chief FMES,

Doesn't this remind you of "Keep your friends close and your enemies closer"? Kwa kweli sisi kunguru (wananchi) tuvisubirie tu hivi vita vya panzi kwani furaha na faida ni yetu. Hopefully a greater public/national good will be achieved!!
 
Mkuu Wangu Mpanda Merikebu,

ze dataz ni kwamba,

Mahakamani hataenda mtu, maana wakithubutu serikali nzima itaanguka chini hilo halina ubishi, Muungwana, huenda hana uwezo mkubwa wa kutawala, but, ni mtoto wa mjini mwenye very strong skills za ku-deal na watu, hasa viongozi wenziwe, ni mjanja sana kuliko wananchi wengi tunavyofikiri, siku zote mkuu hufuatilia kwa makini who are the kingmakers, huwa hawaachi mbali hata kama wako upinzani, kwenye hili huwatafuta mwenyewe usiku, unajua the man inapofika usiku anakuwa Invisible na ku-take care mambo yake mengi muhimu kisiasa,

Alipopewa urais, aliambiwa na ccm-brass asimpe el, ila ampe mp, akabisha sana na kuwatishia the brass, alipotimiza nia yake, akaamua kuwalipa the brass, kwa safari nyingi za nje, all paid for, pamoja na maneno mengi ya watu ukweli ni kwamba Richmonduli ilimshitukizia kama sisi wote wananchi wa kawaida, maana yeye alishatamba kwa wananchi kuwa umeme unakuja, akiamini Richmonduli itakuwa the answer, kumbe jamaa wamempandisha mkenge, aliposikia mtu wa kwanza kumkamata alikuwa lm, ambaye alimpa ripooti yote maana lm alikuwa anakusanya tu dataz za kujikinga kwa vile hawakumpa hata senti moja,

muungwana akarudi kwa the brass, na kuwaambia kuwa they were right choice yake ya pm haikuwa nzuri, sasa anahitaji msaada akaambiwa hiyo hiyo Richmonduli ndiyo itakayomuokoa alilie ripoti, hm akakusanya ripoti kabla hajaenda kwa muungwana, akaipitisha kwa brass kwanza, wote wakaipa ok ndio akaambiwa aende nayo kwa muungwana, el alipoambiwa yaliyomo kwenye ripoti akawaomba brass isipelekwe bungeni, akaambiwa too late, akatishia kujiua iwapo itapelekwa, akaambiwa tutakupa kamba ya kujitundika, ripoti ikapelekwa el chali, muungwana akajaribu ku-lobby for tyson kwa brass, akaambiwa choice bado ni ile ile ampe mp,

Everything sasa hivi ccm ni under control ya the brass, hata muungwana mwenyewe sasa hivi anaripoti kwao, mp na mkuchika ndio watu wa the brass, kwa sasa ndio the powers, kwa hiyo el na wenziwe sasa wako under the brass watch, maana hata muungwana hawezi hii vita inayoendelea sasa na inayokuja...........!

tutaendelea next time, stay tuned..........only kwenye JF I love it where we dare kumkoma nyani mchana kweupeee!
 
HM -ni mwanazuoni Harison Mwakyembe
LM-Ni mwanasheria Lawrence Masha

Hongereni kwa kazi kubwa ktk historia ya nchi yetu.

Jiwekeni ktk mtizamo huo wa kusema kweli daima ila siku mtakayotetereka basi ndipo hekima ya Muosha Huoshwa.

Mungu ibariki Tanzania
 
Mkuu Wangu Mpanda Merikebu,

ze dataz ni kwamba,

Mahakamani hataenda mtu, maana wakithubutu serikali nzima itaanguka chini hilo halina ubishi, Muungwana, huenda hana uwezo mkubwa wa kutawala, but, ni mtoto wa mjini mwenye very strong skills za ku-deal na watu, hasa viongozi wenziwe, ni mjanja sana kuliko wananchi wengi tunavyofikiri, siku zote mkuu hufuatilia kwa makini who are the kingmakers, huwa hawaachi mbali hata kama wako upinzani, kwenye hili huwatafuta mwenyewe usiku, unajua the man inapofika usiku anakuwa Invisible na ku-take care mambo yake mengi muhimu kisiasa,

Alipopewa urais, aliambiwa na ccm-brass asimpe el, ila ampe mp, akabisha sana na kuwatishia the brass, alipotimiza nia yake, akaamua kuwalipa the brass, kwa safari nyingi za nje, all paid for, pamoja na maneno mengi ya watu ukweli ni kwamba Richmonduli ilimshitukizia kama sisi wote wananchi wa kawaida, maana yeye alishatamba kwa wananchi kuwa umeme unakuja, akiamini Richmonduli itakuwa the answer, kumbe jamaa wamempandisha mkenge, aliposikia mtu wa kwanza kumkamata alikuwa lm, ambaye alimpa ripooti yote maana lm alikuwa anakusanya tu dataz za kujikinga kwa vile hawakumpa hata senti moja,

muungwana akarudi kwa the brass, na kuwaambia kuwa they were right choice yake ya pm haikuwa nzuri, sasa anahitaji msaada akaambiwa hiyo hiyo Richmonduli ndiyo itakayomuokoa alilie ripoti, hm akakusanya ripoti kabla hajaenda kwa muungwana, akaipitisha kwa brass kwanza, wote wakaipa ok ndio akaambiwa aende nayo kwa muungwana, el alipoambiwa yaliyomo kwenye ripoti akawaomba brass isipelekwe bungeni, akaambiwa too late, akatishia kujiua iwapo itapelekwa, akaambiwa tutakupa kamba ya kujitundika, ripoti ikapelekwa el chali, muungwana akajaribu ku-lobby for tyson kwa brass, akaambiwa choice bado ni ile ile ampe mp,

Everything sasa hivi ccm ni under control ya the brass, hata muungwana mwenyewe sasa hivi anaripoti kwao, mp na mkuchika ndio watu wa the brass, kwa sasa ndio the powers, kwa hiyo el na wenziwe sasa wako under the brass watch, maana hata muungwana hawezi hii vita inayoendelea sasa na inayokuja...........!

tutaendelea next time, stay tuned..........only kwenye JF I love it where we dare kumkoma nyani mchana kweupeee!

Very interesting!!
For first timer in JF ... naweza nisifanye kazi wiki nzima ..just catching up! So far am learning a lot!!
 

Kama ni kumlinda Lowassa Jk ana uwezo huo,Ibara ya 45 ina mruhusu
.-(1) Bila ya kuathiri masharti mengineyo yaliyomo katika ibara hii, Rais anaweza
kutenda lolote kati ya mambo yafuatayo:-
(a) kutoa msamaha kwa mtu yeyote aliyepatikana na hatia mbele ya mahakama kwa kosa
lolote, na aweza kutoa msamaha huo ama bila ya masharti au kwa masharti, kwa mujibu
wa sheria;
(b) kumwachilia kabisa au kwa muda maalum mtu yeyote aliyehukumuwa kuadhibiwa
kwa ajili ya kosa lolote ili mtu huyo asitimize kabisa adhabu hiyo au asitimize adhabu
hiyo wakati wa muda huo maalum;
(c) kuibadilisha adhabu yoyote aliyopewa mtu yeyote kwa kosa lolote iwe adhabu
tahafifu;
(d) kufuta adhabu yote au sehemu ya adhabu yoyote aliyopewa mtu yeyote kwa ajili ya
kosa lolote au kufuta adhabu yote au sehemu ya adhabu ya kutoza, au kuhozi (au
kuchukua) kitu cha mtu mwenye hatia ambacho vinginevyo kingechukuliwa na Serikali
ya Jamhuri ya Muungano.

 
Mkuu Wangu Mpanda Merikebu,

ze dataz ni kwamba,

Mahakamani hataenda mtu, maana wakithubutu serikali nzima itaanguka chini hilo halina ubishi, Muungwana, huenda hana uwezo mkubwa wa kutawala, but, ni mtoto wa mjini mwenye very strong skills za ku-deal na watu, hasa viongozi wenziwe, ni mjanja sana kuliko wananchi wengi tunavyofikiri, siku zote mkuu hufuatilia kwa makini who are the kingmakers, huwa hawaachi mbali hata kama wako upinzani, kwenye hili huwatafuta mwenyewe usiku, unajua the man inapofika usiku anakuwa Invisible na ku-take care mambo yake mengi muhimu kisiasa,

Alipopewa urais, aliambiwa na ccm-brass asimpe el, ila ampe mp, akabisha sana na kuwatishia the brass, alipotimiza nia yake, akaamua kuwalipa the brass, kwa safari nyingi za nje, all paid for, pamoja na maneno mengi ya watu ukweli ni kwamba Richmonduli ilimshitukizia kama sisi wote wananchi wa kawaida, maana yeye alishatamba kwa wananchi kuwa umeme unakuja, akiamini Richmonduli itakuwa the answer, kumbe jamaa wamempandisha mkenge, aliposikia mtu wa kwanza kumkamata alikuwa lm, ambaye alimpa ripooti yote maana lm alikuwa anakusanya tu dataz za kujikinga kwa vile hawakumpa hata senti moja,

muungwana akarudi kwa the brass, na kuwaambia kuwa they were right choice yake ya pm haikuwa nzuri, sasa anahitaji msaada akaambiwa hiyo hiyo Richmonduli ndiyo itakayomuokoa alilie ripoti, hm akakusanya ripoti kabla hajaenda kwa muungwana, akaipitisha kwa brass kwanza, wote wakaipa ok ndio akaambiwa aende nayo kwa muungwana, el alipoambiwa yaliyomo kwenye ripoti akawaomba brass isipelekwe bungeni, akaambiwa too late, akatishia kujiua iwapo itapelekwa, akaambiwa tutakupa kamba ya kujitundika, ripoti ikapelekwa el chali, muungwana akajaribu ku-lobby for tyson kwa brass, akaambiwa choice bado ni ile ile ampe mp,

Everything sasa hivi ccm ni under control ya the brass, hata muungwana mwenyewe sasa hivi anaripoti kwao, mp na mkuchika ndio watu wa the brass, kwa sasa ndio the powers, kwa hiyo el na wenziwe sasa wako under the brass watch, maana hata muungwana hawezi hii vita inayoendelea sasa na inayokuja...........!

tutaendelea next time, stay tuned..........only kwenye JF I love it where we dare kumkoma nyani mchana kweupeee!


Chief FMES,

Shukrani kwa dataz. Inaelekea kuwa japo Muungwana si kiongozi shupavu, anajua kuzicheza karata zake vizuri. Uungwana wake unamsaidia katika kula na vipofu na kujua burushi mbaya (RA) kiatu chake kilikuwa dawa wakati wa uchaguzi.

Naafikiana nawe kuwa itakuwa ni ngumu kwa ukweli woote kutoka (hususan watu wakishaanza kufikishwa mahakamani) kwani serikali nzima haitapona. Lakini, brass ipo katika msimamo wa kusafisha nchi kwa kutumia busara na uwezo wao huku ikistahi Urais? Nafikiri mambo yasipochukuliwa kwa tahadhari, cycle itaendelea na hata Muungwana akitoka tutakuwa tunawish (kama tufanyavyo kwa BWM) afunguliwe mashtaka. Tofauti ya Muungwana na BWM ni kuwa Muungwana anapendeka na ni mnyenyekevu wakati BWM ni kichwa ngumu, jeuri na mwenye majigambo. Huyu anastahili kuwa Chilubad!

Asante mkuu, endelea na utumishi wako wa kuelimisha umma! Salut!
 
Lowassa alikuwa mzigo kwa muungwana, kam-beba sana mpaka imefika wakati ikawa ama aendelee kum-beba na waanguke wote au amtupe ili awe salama, mkuu aka opt the latter!
 
Mkuu Wangu Mpanda Merikebu,

ze dataz ni kwamba,

Mahakamani hataenda mtu, maana wakithubutu serikali nzima itaanguka chini hilo halina ubishi, Muungwana, huenda hana uwezo mkubwa wa kutawala, but, ni mtoto wa mjini mwenye very strong skills za ku-deal na watu, hasa viongozi wenziwe, ni mjanja sana kuliko wananchi wengi tunavyofikiri, siku zote mkuu hufuatilia kwa makini who are the kingmakers, huwa hawaachi mbali hata kama wako upinzani, kwenye hili huwatafuta mwenyewe usiku, unajua the man inapofika usiku anakuwa Invisible na ku-take care mambo yake mengi muhimu kisiasa,

Alipopewa urais, aliambiwa na ccm-brass asimpe el, ila ampe mp, akabisha sana na kuwatishia the brass, alipotimiza nia yake, akaamua kuwalipa the brass, kwa safari nyingi za nje, all paid for, pamoja na maneno mengi ya watu ukweli ni kwamba Richmonduli ilimshitukizia kama sisi wote wananchi wa kawaida, maana yeye alishatamba kwa wananchi kuwa umeme unakuja, akiamini Richmonduli itakuwa the answer, kumbe jamaa wamempandisha mkenge, aliposikia mtu wa kwanza kumkamata alikuwa lm, ambaye alimpa ripooti yote maana lm alikuwa anakusanya tu dataz za kujikinga kwa vile hawakumpa hata senti moja,

muungwana akarudi kwa the brass, na kuwaambia kuwa they were right choice yake ya pm haikuwa nzuri, sasa anahitaji msaada akaambiwa hiyo hiyo Richmonduli ndiyo itakayomuokoa alilie ripoti, hm akakusanya ripoti kabla hajaenda kwa muungwana, akaipitisha kwa brass kwanza, wote wakaipa ok ndio akaambiwa aende nayo kwa muungwana, el alipoambiwa yaliyomo kwenye ripoti akawaomba brass isipelekwe bungeni, akaambiwa too late, akatishia kujiua iwapo itapelekwa, akaambiwa tutakupa kamba ya kujitundika, ripoti ikapelekwa el chali, muungwana akajaribu ku-lobby for tyson kwa brass, akaambiwa choice bado ni ile ile ampe mp,

Everything sasa hivi ccm ni under control ya the brass, hata muungwana mwenyewe sasa hivi anaripoti kwao, mp na mkuchika ndio watu wa the brass, kwa sasa ndio the powers, kwa hiyo el na wenziwe sasa wako under the brass watch, maana hata muungwana hawezi hii vita inayoendelea sasa na inayokuja...........!

tutaendelea next time, stay tuned..........only kwenye JF I love it where we dare kumkoma nyani mchana kweupeee!


Mzee ES, pleeaassee!!!!

EL kutishia 'kujiua'? I have known EL for over 25 years na kusikia/kuona mambo yake mengi sana, na hii ni mpya toka kwako Mzee ES.

Report ya Richmond ilikabidhiwa kwa Speaker na siyo JK. Hii ni report ya Kamati Teule ya Bunge na si Tume ya Raisi. Speaker, as a courtesy, aliwapa copy Ikulu baada ya kuomba na ndiyo copy aliyopata EL kupitia Ikulu. JK hakupewa copy na HM (hao Brass sijui).

Capt. George Mkuchika, army reject, ex-DC Ilala (kanyanyaswa sana na KK/Keenja in the 90's)ambaye kasaidiwa na 'shemeji' kupata u-MP Newala juzi juzi baada ya Akukwetu kufariki, sasa ni 'mtu wa brass' watching over JK na EL!!!!!

Somebody wake me up.

Mazengo Pinda was never, I repeat never, in consideration kwa u-PM at any stage of his political life hadi Jnne usiku last week.

Muungwana is the BRASS, period.
(I bet you can not name two so-called Brass, and I wonder where do these Brass meet to make such history altering decisions).

Sikubaliani ki-siasa na vitu vingine vya EL kama vita vya JSM, Ndejembi, Membe, Kitine, n.k., ila kwa Richmond angeamua ku-fight it out ingempeleka yeye na rafiki zake JK na RA pabaya sana.

Mzee ES, sitaki ku-question credibility yako kwani in JF one believes what one believes.

Peace!
 
Mkuu Wangu Mpanda Merikebu,

ze dataz ni kwamba,

Mahakamani hataenda mtu, maana wakithubutu serikali nzima itaanguka chini hilo halina ubishi, Muungwana, huenda hana uwezo mkubwa wa kutawala, but, ni mtoto wa mjini mwenye very strong skills za ku-deal na watu, hasa viongozi wenziwe, ni mjanja sana kuliko wananchi wengi tunavyofikiri, siku zote mkuu hufuatilia kwa makini who are the kingmakers, huwa hawaachi mbali hata kama wako upinzani, kwenye hili huwatafuta mwenyewe usiku, unajua the man inapofika usiku anakuwa Invisible na ku-take care mambo yake mengi muhimu kisiasa,

Alipopewa urais, aliambiwa na ccm-brass asimpe el, ila ampe mp, akabisha sana na kuwatishia the brass, alipotimiza nia yake, akaamua kuwalipa the brass, kwa safari nyingi za nje, all paid for, pamoja na maneno mengi ya watu ukweli ni kwamba Richmonduli ilimshitukizia kama sisi wote wananchi wa kawaida, maana yeye alishatamba kwa wananchi kuwa umeme unakuja, akiamini Richmonduli itakuwa the answer, kumbe jamaa wamempandisha mkenge, aliposikia mtu wa kwanza kumkamata alikuwa lm, ambaye alimpa ripooti yote maana lm alikuwa anakusanya tu dataz za kujikinga kwa vile hawakumpa hata senti moja,

muungwana akarudi kwa the brass, na kuwaambia kuwa they were right choice yake ya pm haikuwa nzuri, sasa anahitaji msaada akaambiwa hiyo hiyo Richmonduli ndiyo itakayomuokoa alilie ripoti, hm akakusanya ripoti kabla hajaenda kwa muungwana, akaipitisha kwa brass kwanza, wote wakaipa ok ndio akaambiwa aende nayo kwa muungwana, el alipoambiwa yaliyomo kwenye ripoti akawaomba brass isipelekwe bungeni, akaambiwa too late, akatishia kujiua iwapo itapelekwa, akaambiwa tutakupa kamba ya kujitundika, ripoti ikapelekwa el chali, muungwana akajaribu ku-lobby for tyson kwa brass, akaambiwa choice bado ni ile ile ampe mp,

Everything sasa hivi ccm ni under control ya the brass, hata muungwana mwenyewe sasa hivi anaripoti kwao, mp na mkuchika ndio watu wa the brass, kwa sasa ndio the powers, kwa hiyo el na wenziwe sasa wako under the brass watch, maana hata muungwana hawezi hii vita inayoendelea sasa na inayokuja...........!

tutaendelea next time, stay tuned..........only kwenye JF I love it where we dare kumkoma nyani mchana kweupeee!

Hivi huyu mtu ataacha uongo na uzandiki lini?
 
Masatu,

Kama una ukweli uweke mkuu, huo ni ukweli ambao huna bro, sasa kaa pembeni usaidiwe mkuu.

Mtu mzima alijaribu kila njia kuzuia ripoti haikuwezekana, akaishia kujiuzulu, alijaribu mpaka acid haikusaidia mkuu, wananchi wakichoka wewe ni kuondoka tu, mkuu subiri karibuni utaona vikaratasi kwenye media jinsi alivyojitahidi kuizuia ripoti maana wabunge wamechoka wanafikiria kuviweka wazi, mkuu kuna mengi yanakuja, na dataz zaidi, stay tuned......!

Mkuu Kiungani,

I stand behind my words, na pia ninaheshimu logic zako, lakini siasa za bongo huwa haziendeshwi kwa locgic kama zako, ndio maana tuna PHDs ambazo hazipo dunia nzima, lakini pia ninaheshimu logic zako, but, I stand kwa maneno yangu. Na pia ninaheshimu kuwa this time umekuwa na jina jipya baada ya lile la ishu ya mwisho kwenye Butiku.
 
Muungwana is the BRASS, period.
(I bet you can not name two so-called Brass, and I wonder where do these Brass meet to make such history altering decisions).


Mkuu Kiungani,

Ngoja nikupe a shocker mkuu! Uamuzi wa Pinda kuwa pm, 75% umetolewa na Mkapa, wazee wengine walichangia only 25% tu! the brass Walioshiriki ni Kawawa, Mwinyi, Kingunge, Sozigwa, Kinana, Salim, Msuya, na Msekwa, lakini uamuzi wa mwisho ulikuwa ni wa Mkapa! Mkuu watu kama Mzee MMJ, wakizikataa dataz zangu basi najua nilikozitoa zina walakini, maana na wao wanazo source nzito za kuhakikisha ninayosema, lakini sina tatizo kusikiliza logic zako.
 
Lowassa alikuwa mzigo kwa muungwana, kam-beba sana mpaka imefika wakati ikawa ama aendelee kum-beba na waanguke wote au amtupe ili awe salama, mkuu aka opt the latter!


Mkuu Lowassa, alikuwa mzigo kwa taifa na hasa sisi wananchi, fungua macho mkuu, ripoti inasema lowassa ametuibia wananchi, hakumuibia muungwana, na aliyemtoa lowassa ni sisi wananchi sio muungwana!
 
Mkuu Kiungani,

Ngoja nikupe a shocker mkuu! Uamuzi wa Pinda kuwa pm, 75% umetolewa na Mkapa, wazee wengine walichangia only 25% tu! the brass Walioshiriki ni Kawawa, Mwinyi, Kingunge, Sozigwa, Kinana, Salim, Msuya, na Msekwa, lakini uamuzi wa mwisho ulikuwa ni wa Mkapa! Mkuu watu kama Mzee MMJ, wakizikataa dataz zangu basi najua nilikozitoa zina walakini, maana na wao wanazo source nzito za kuhakikisha ninayosema, lakini sina tatizo kusikiliza logic zako.


Mzee ES, sijabadili jina na sina sababu ya kufanya hivyo.
Sina mazoea ya kuingia humu JF mara kwa mara, japo nawafamu wengi (Mzee ES included) kwa majina na wapi wengi wao walipo. (By the way, Mzee alirudi well rested baada ya kuja kuwatembelea)

Hao uliowataja kama 'the brass' nina hakika mmoja wao atashangaa kusikia yanayosemwa hapa (kwani nilikuwa naye juzi tukipata chai na biskuti na alishangazwa kwa uteuzi huu wa PM). But that is Bongo politics.

Anyway, kama nilivyosema believe what you believe in.

Peace!
 
Mzee ES, pleeaassee!!!!

EL kutishia 'kujiua'? I have known EL for over 25 years na kusikia/kuona mambo yake mengi sana, na hii ni mpya toka kwako Mzee ES.

I stand for what I said mkuu, kuwa kwenye juhudi za kutaka kuizuia ripoti, mkuu alijaribu kila mbinu, ya kutishia kujiua ikiwa ni majowapo, lowassa sidahni kama unamjua mkuu, kama ninavyomjua na soo zake, ndio maana nilisema mapema kuwa hatapewa u-makamu wa ccm, na hakupewa, nikasema kuwa anahusika na acid, juzi Mwakyembe ameiweka kwa ujanja kwenye ripoti yake, off course ni mpya toka kwangu, maana hazijawahi kutoka kwako mkuu.

Report ya Richmond ilikabidhiwa kwa Speaker na siyo JK. Hii ni report ya Kamati Teule ya Bunge na si Tume ya Raisi. Speaker, as a courtesy, aliwapa copy Ikulu baada ya kuomba na ndiyo copy aliyopata EL kupitia Ikulu. JK hakupewa copy na HM (hao Brass sijui).

Ripoti ya bunge kama unavyosema, muungwana alienda Dodoma kufanya nini mkuu? Sitta, kwa nini hakuenda safari yake kama alivyotangaza mapema? Lowassa kwa nini hakuenda kumpokea rais uwanjani kama ilivyo kawaida yake? mkuu kaangalie tena source zako!

Capt. George Mkuchika, army reject, ex-DC Ilala (kanyanyaswa sana na KK/Keenja in the 90's)ambaye kasaidiwa na 'shemeji' kupata u-MP Newala juzi juzi baada ya Akukwetu kufariki, sasa ni 'mtu wa brass' watching over JK na EL!!!!!

Mkuchika, alitakiwa awe spika, badaye alitakiwa awe katibu wa bunge, yote haya alizuiwa na mtandao, wakamuweka Ameir na Sitta, sasa nani aliyempa unaibu katibu ccm? Nani aliyempa uwaziri? Akukweti, alishindwa mara mbili na Mkuchika lakini mtandao wakamuondoa jina, mbona bado yupo tu mkuu haendi kokote?

Somebody wake me up.

Hakuna mtu hapa wa kuku-wake up, endelea kulala tu mkuu! sisi wote huku tumeamka mkuu, isipokuwa wewe tu!

Mazengo Pinda was never, I repeat never, in consideration kwa u-PM at any stage of his political life hadi Jnne usiku last week.

Mkuu hata protocol za serikali hazisemi hivyo, waziri mkuu mtarajiwa hufahamishwa at least a week kabla, kwa sababu lazima ahojiwe na rais in advance, pamoja na uwt kwa hiyo unaonekana huelewi hata how the system works mkuu, basi uliza uelezwe, badala ya kubisha.

Muungwana is the BRASS, period.
(I bet you can not name two so-called Brass, and I wonder where do these Brass meet to make such history altering decisions).

Muungwana the only brass? basi Msekwa asingekuwa makamu wa ccm, Shein asingekuwa makamu wa rais, Nahodha asingekuwa waziri kiongozi ZNZB, Makamba asingekuwa katibu wa ccm, Lowassa angeeendelea kuwa pm, Rostam angeendelea kuwa mweka hazina, na asingeshindwa NEC, mkapa angekluwa jela tayari, ni simple politics za nchi yako mkuu nazo mpaka tuwafundishe?

Sikubaliani ki-siasa na vitu vingine vya EL kama vita vya JSM, Ndejembi, Membe, Kitine, n.k., ila kwa Richmond angeamua ku-fight it out ingempeleka yeye na rafiki zake JK na RA pabaya sana.

Richmonduli tayari inawepeleka pabaya Rostam na Lowassa, not muungwana, kwa sababu hahusiki na huo wizi, angehusika asingemtukana lm kama mtoto, asingekwenda Dodoma kufuatilia ripoti ya Mwakyembe, Lowassa angeendelea kuwa waziri mkuu, Karamagi asingeenda kokote mkuu!

Mzee ES, sitaki ku-question credibility yako kwani in JF one believes what one believes.

Labda u-question credibility yako mkuu, maana ya kwangu inaeleweka mkuu, kuna watu humu ndani wakiuliza kuhusu dataz zangu ninaweza kushituka, lakini sio wewe na majina yako mengi mkuu,

Have a nice day!
 
Hao uliowataja kama 'the brass' nina hakika mmoja wao atashangaa kusikia yanayosemwa hapa (kwani nilikuwa naye juzi tukipata chai na biskuti na alishangazwa kwa uteuzi huu wa PM). But that is Bongo politics.


Unfortunately, siku lilipotangazwa baraza la mawaziri, na ripoti ya Richmonduli, hakuna the brass hata mmoja aliyekuwa nje ya nchi, sijui hizo cahi na biskuti mlinywea wapi mkuu?
 
Mkuu Lowassa, alikuwa mzigo kwa taifa na hasa sisi wananchi, fungua macho mkuu, ripoti inasema lowassa ametuibia wananchi, hakumuibia muungwana, na aliyemtoa lowassa ni sisi wananchi sio muungwana!

Kwahiyo barua ya kujiuzulu Lowasa ililetwa kwa "wananchi" na ndio waliokibali kujiuzulu kwake... pumba nyingine bwana....

Mkuu Kiungani,

Ngoja nikupe a shocker mkuu! Uamuzi wa Pinda kuwa pm, 75% umetolewa na Mkapa, wazee wengine walichangia only 25% tu! the brass Walioshiriki ni Kawawa, Mwinyi, Kingunge, Sozigwa, Kinana, Salim, Msuya, na Msekwa, lakini uamuzi wa mwisho ulikuwa ni wa Mkapa! Mkuu watu kama Mzee MMJ, wakizikataa dataz zangu basi najua nilikozitoa zina walakini, maana na wao wanazo source nzito za kuhakikisha ninayosema, lakini sina tatizo kusikiliza logic zako.

This is not only a "shocker" but udaku of the highest order! Mkapa who?

Masatu,

Kama una ukweli uweke mkuu, huo ni ukweli ambao huna bro, sasa kaa pembeni usaidiwe mkuu.

Mtu mzima alijaribu kila njia kuzuia ripoti haikuwezekana, akaishia kujiuzulu, alijaribu mpaka acid haikusaidia mkuu, wananchi wakichoka wewe ni kuondoka tu, mkuu subiri karibuni utaona vikaratasi kwenye media jinsi alivyojitahidi kuizuia ripoti maana wabunge wamechoka wanafikiria kuviweka wazi, mkuu kuna mengi yanakuja, na dataz zaidi, stay tuned......!


Ukweli? hivi wewe ES kinara wa uongo unajua maana ya neno ukweli? Cant u see hizo pumba zako unazomwaga hapo people just fall off their chairs laughing.......

Mkuu u have became a laughing stock now the more unapotelea hizi habari ambazo hata kindergatten pupil will neva eva buy...
 
Mkuu andika hoja, sidhani kama kuna kichekesho humu JF zaidi yako maana wewe ni kusubiri Lunyungu aandike kwanza ndio urukie mkuu,

Hapo juu unajaza uchafu tu hoja huna mkuu, tafuta hoja kwanza ndio ujibu, kama huwezi waachie wengine, msimamo huna mkuu kaaa pembeni!
 
Back
Top Bottom