Makutano Show
Member
- Aug 3, 2012
- 21
- 65
Jumamosi katika kipindi cha Makutano nitakuwa na Mbunge wa Nachingwea ambaye pia ni Waziri wa Sheria na Katiba Mheshimiwa Mathias Chikawe tukiongea mambo mbalimbali ikiwemo suala la Katiba mpya.
Mheshimiwa Waziri anataka kupokea maswali na maoni toka JF, unakaribishwa kuuliza na yatamfikia. Pia usikose kusikiliza akihojiwa Jumamosi kuanzia saa tisa mchana Magic FM 92.9 Dar, 93.3 Dodoma, 98.6 Arusha/Moshi,101.7Mwanza na online kupitia MakutanoShow on USTREAM: Makutano na Fina Mango..
Karibu
Wana-JF
Mahojiano na Mheshimiwa Chikawe kwa Jumamosi hii yameahirishwa kutokana na kupata dharula hivyo kusafiri kikazi. Tunawaomba radhi kwa hilo badala yake atakuwepo mheshimiwa Basil Pesambili Mramba waziri wa zamani wa Fedha.
Mahojiano yake yatakuwepo hapa baada ya kipindi.
Mheshimiwa Waziri anataka kupokea maswali na maoni toka JF, unakaribishwa kuuliza na yatamfikia. Pia usikose kusikiliza akihojiwa Jumamosi kuanzia saa tisa mchana Magic FM 92.9 Dar, 93.3 Dodoma, 98.6 Arusha/Moshi,101.7Mwanza na online kupitia MakutanoShow on USTREAM: Makutano na Fina Mango..
Karibu
Wana-JF
Mahojiano na Mheshimiwa Chikawe kwa Jumamosi hii yameahirishwa kutokana na kupata dharula hivyo kusafiri kikazi. Tunawaomba radhi kwa hilo badala yake atakuwepo mheshimiwa Basil Pesambili Mramba waziri wa zamani wa Fedha.
Mahojiano yake yatakuwepo hapa baada ya kipindi.