Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,894
- 20,372
Doctor wewe achana na hawa vijana wa magamba watakutia hasira bure sio saizi yako wacha sisi tucheze nao wakija kistaarabu tunawajibu kistaarabu wakija kihuni tunawajibu kihuni,..wewe endelea na kujenga chama Tuachie sisi hawa ni saizi yetu!!
well said brother.....hawa wanalipwa sisi ni kujitoa Tu ili kuikomboa nchi. Pumzika Dr.W.Slaa[/QUOTE]
Wewe sema tu kuwa mnajitolea kuikomboa nchi wakati wenzenu chadema wanaifanya kuwa saccoss na NGO ya kujichotea watakavyo. Poleni sana na hizo book 3 zenu kwa siku