Mkakati unaonekana kuendelea na wamebadili mbinu,naambiwa kuwa huko Dodoma bungeni leo wajumbe wa kamati ya bunge ya nishati na madini wamekutana na maofisa wa benki ya Dunia, sasa kilichozungumzwa huko bado kukipata ila wajumbe wa kamati hiyo ni pamoja na Dr,Mwakyembe,Lucas Selelii, Mnyaa, Stella Manyanya,Shelukindo ndo mwenyekiti wa kamati ,nitalifuatilia kama naweza kumpata mmojawapo .
Ila taarifa ni kuwa ni juu ya ripoti ya madini.