Excellent Again

Watu waliokuwa kwenye msiba walimshangaa mama aliyefiwa na mmewe,wakamwuliza,mama mbona we humlilii mme wako,watu wanalia we macho makavu sana,mama akawajibu....nye acheni tu,nikiaanza kulia hapatakalika hapa,wakamwambia basi we lia kidogo kuonyesha unaombeleza.Mama akaanza kulia '''uwwwwiiiiiii mme wangu,umeniacha,nakumbuka jinsi ulivyokuwa unanifikisha tukiwa kwenye game,unanifanya kila style mpaka naridhika,hakuna mwanaume anayeweza kunitosheleza zaidi yako,....uwwiiiiiiii,jamaniiiii.sasa nani atanipa tena utamu,nani ataninyonya,uwwwiiiiii'''''watu wa kwenye msimba wakaanza kulalamika.........''ahaaaaa we mama mambo gani ya kutiana ny*ge kwenye msiba''!

unajua nini kilifuatia?muda wa msosi ulipofika watu walijikata makundi kuunda mduara kwaajili ya menyu kundi moja alikuwepo mzee mmoja aliachachia ushuzi uliyo wafanya watu kuguna. Jamaa mmoja aliskika akisema:aaah mtu gani tena huyo anabeep kwa line yake ya tigo huku tunakula? Mzee akadikia. Mnashanga haka ka ushuzi kadogo hivi.niliwahi kuachia ushuzi kule iringa kwenye msiba kama huu watu walizimia wengine waliacha na kula nashangaa nyinyi mnaguna tu huku mnaendelea kula.
 
sauti ilisikika kichakan ikiomba msaada''nisaidien nakufaa''gafla lilitokea bonge ya baunsa kichakan huku likihema na boxa mkonon likasema''dah japo wamenigonga lakin kwa mbinde.
Hahahah...lol!
U have made ma day
 
Thanx mkuu! Ila nna ushauri mmoja.... kwamba uwe walau unapost chache kama mbili tatu hivi kwa siku sio mbaya, au unaonaje maana tunaweza kukeshea kucheka tukashindwa kwenda majukwaa mengine. Na hawa mods wanavyochanganya posts....ya mapenzi waikuta kwa politics so ukisema uweke kiporo unaweza ukaitafutaaaa weeeee ukaishia kukata tamaa! Ushauri tu lakini.
 
Thanx mkuu! Ila nna ushauri mmoja.... kwamba uwe walau unapost chache kama mbili tatu hivi kwa siku sio mbaya, au unaonaje maana tunaweza kukeshea kucheka tukashindwa kwenda majukwaa mengine. Na hawa mods wanavyochanganya posts....ya mapenzi waikuta kwa politics so ukisema uweke kiporo unaweza ukaitafutaaaa weeeee ukaishia kukata tamaa! Ushauri tu lakini.
poa mkuu nitafanya hvo
 
Salute kwako Excellent.....Napendekeze hili jukwaa ubinafsishiwe 75%......Wengine tuachiwe hiyo 25%.....Doh we ni balaaa..
 
hahahaha...hii imekaa vizuri...jamaa alifikiri alichokuwa anawazia kimetimia..anaenda sasa kuyashika rasmi lile **** alilokuwa anamezea mate...

Dada alijitoa katika foleni ya Benk na kumfuata askari kumuuliza
DADA:Samahani afande,unaweza kunisaidia kutoa kitu kwenye makalio yangu??kinanikera sana.
Kwa haraka sana afande akajivuta chemba na kuweka bunduki chini,kisha akamwambia dada
AFANDE:Njoo kwa huku.Kwani ni kitu gani hicho kinakukera?
DADA:Ni hayo macho yako.Unanikosesha amani unavyonikodolea macho matakoni.
 
mkuu...wewe ni mkareeee
Mwanamke alinunua line mpya ya voda ili ampime mumewe.Wakiwa wameketi sebuleni,mwanamke alienda jikoni na kumpigia mumewe,huku amebadilisha sauti.Jamaa akapokea simu"Hallow"
WIFE:Hallo darling wangu naona siku hizi umenisusa
JAMAA:pliz,Kata nitakupigia
Ghafla jamaa akatoka nje kibarazani,na kumpigia darling nae akapokea
WIFE: Hey swity,mbona umeniambia nikate simu?uko wapi?
JAMAA:Niko home.Lile ling'ombe lilikua jikoni, lingenikuta naongea na wewe ingekua noma.
 
Mwanajeshi akiwa kwenye vita aliwateka adui zake watatu,wote walikuwa wanawake,wasichana wawili na mbibi,mwanajeshi akawaambia,sasa punishment yenu nafanya mapenzi na nye wote....wale wasichana wawili wakamwambia tunaomba basi usifanye na bibi yetu,bibi akadakia akisema...adhabu ni kwa wote adui ni adui hata awe bibi.

E bhana! Hahahahaaaaaaa... Kumbe bibi alikuwa na hamu...
 
Mkuu umetisha..yaan hili jukwaa ungebinafshiwa mzazi..you are at the top!!!
 
Mwanajeshi akiwa kwenye vita aliwateka adui zake watatu,wote walikuwa wanawake,wasichana wawili na mbibi,mwanajeshi akawaambia,sasa punishment yenu nafanya mapenzi na nye wote....wale wasichana wawili wakamwambia tunaomba basi usifanye na bibi yetu,bibi akadakia akisema...adhabu ni kwa wote adui ni adui hata awe bibi.
Haaaaa haaaaa haaaaaa!du bibi anataka........!
 
Watu waliokuwa kwenye msiba walimshangaa mama aliyefiwa na mmewe,wakamwuliza,mama mbona we humlilii mme wako,watu wanalia we macho makavu sana,mama akawajibu....nye acheni tu,nikiaanza kulia hapatakalika hapa,wakamwambia basi we lia kidogo kuonyesha unaombeleza.Mama akaanza kulia '''uwwwwiiiiiii mme wangu,umeniacha,nakumbuka jinsi ulivyokuwa unanifikisha tukiwa kwenye game,unanifanya kila style mpaka naridhika,hakuna mwanaume anayeweza kunitosheleza zaidi yako,....uwwiiiiiiii,jamaniiiii.sasa nani atanipa tena utamu,nani ataninyonya,uwwwiiiiii'''''watu wa kwenye msimba wakaanza kulalamika.........''ahaaaaa we mama mambo gani ya kutiana ny*ge kwenye msiba''!
Mmmh!bora wangemuacha tu ajililie zake kimya kimya,ona sasa anavyolia haaaaaa!
 
Back
Top Bottom