Excellent Again

Dada alijitoa katika foleni ya Benk na kumfuata askari kumuuliza
DADA:Samahani afande,unaweza kunisaidia kutoa kitu kwenye makalio yangu??kinanikera sana.
Kwa haraka sana afande akajivuta chemba na kuweka bunduki chini,kisha akamwambia dada
AFANDE:Njoo kwa huku.Kwani ni kitu gani hicho kinakukera?
DADA:Ni hayo macho yako.Unanikosesha amani unavyonikodolea macho matakoni.
Haaaa haaaa haaaa!afande udenda ushamtoka akajua bacccccccccc!kumbe msuto!
 
Mwanajeshi akiwa kwenye vita aliwateka adui zake watatu,wote walikuwa wanawake,wasichana wawili na mbibi,mwanajeshi akawaambia,sasa punishment yenu nafanya mapenzi na nye wote....wale wasichana wawili wakamwambia tunaomba basi usifanye na bibi yetu,bibi akadakia akisema...adhabu ni kwa wote adui ni adui hata awe bibi.
ha ha ha ha acha mchezo kaka hiyo hitu haina umri!!!! kwi kwi kwi!
 
Mmh jamani hapo kwenye kubip kwa line ya tigo nimecheka miyee huyo mzee ukimuona anakuja kwenye msiba wenu mpakulieni sinia lake akale kwake maana ni balaa lol mecheka sana bila hata kutekenywa
mmmh lakini wajua anayetuchekesha ni sawa na anatutekenya hebu fikiria umetekenywa na wangapi nawe umetekenya wangapi makwapani au mbavuni au unyayoni mhhh ctaki waza zaidi bye
 
Mmh jamani hapo kwenye kubip kwa line ya tigo nimecheka miyee huyo mzee ukimuona anakuja kwenye msiba wenu mpakulieni sinia lake akale kwake maana ni balaa lol mecheka sana bila hata kutekenywa
mmmh lakini wajua anayetuchekesha ni sawa na anatutekenya hebu fikiria umetekenywa na wangapi nawe umetekenya wangapi makwapani au mbavuni au unyayoni mhhh ctaki waza zaidi bye
teh teh teh
 
Back
Top Bottom