Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,929
Haaaa haaaa haaaa!afande udenda ushamtoka akajua bacccccccccc!kumbe msuto!Dada alijitoa katika foleni ya Benk na kumfuata askari kumuuliza
DADA:Samahani afande,unaweza kunisaidia kutoa kitu kwenye makalio yangu??kinanikera sana.
Kwa haraka sana afande akajivuta chemba na kuweka bunduki chini,kisha akamwambia dada
AFANDE:Njoo kwa huku.Kwani ni kitu gani hicho kinakukera?
DADA:Ni hayo macho yako.Unanikosesha amani unavyonikodolea macho matakoni.