Excel for Professional, Tally ERP & QuickBooks Training

Mkuu nahitaji kusoma Tally ERP NA QuickBooks kuanzia mwezi wa nane mwaka huu. Vipi utaratibu upo vipi na mkitoa cheti chenu kinatambulika
 
Mkuu nahitaji kusoma Tally ERP NA QuickBooks kuanzia mwezi wa nane mwaka huu. Vipi utaratibu upo vipi na mkitoa cheti chenu kinatambulika
Asante sana ndugu "Ziloi",utaratibu wetu ni rahis mno. Ni kulipia kozi tajwa na kupanga ni lini na muda gani unaitaji kusoma, kama ni baada ya muda wa kozi kutangazwa. Madarasa haya ni endelevu kwa muda wowote unapo itaji kujiunga.
Kwa maelezo zaidi;
Tupigie: 0717 71 85 19 | 0762 192 532 | 022 270 1320
Tuandikie: training@comskills.co.tz
Fika ofisini: Tupo Makumbusho Business Complex, 2nd floor: Kuanzia saa 11 asubuh mpaka 4 usiku kwa siku zote za juma.
Karibu sana.
 
Kwa wale watumiaji wa Excel upande wa Power BI- Nayo utagusiwa kidogo japo ni somo linalo jitegemea.
Hii ni mahususi sana kwa watu wanaofanya Big Data Analytics.
Karibuni sana.
Tupigie: 0717 71 85 19 | 022 270 1320
Tuma: training@comskills.co.tz
 
Kwa wale watumiaji wa Excel upande wa Power BI- Nayo utagusiwa kidogo japo ni somo linalo jitegemea.
Hii ni mahususi sana kwa watu wanaofanya Big Data Analytics.
Karibuni sana.
Tupigie: 0717 71 85 19 | 022 270 1320
Tuma: training@comskills.co.tz
 
Kwa mm ambae sijui lolote kuhusu microsoft itakuwa sh ngap?

Sent using Jamii Forums mobile app

Karibu sana ndugu "Ifururu", kwa mtu ambaye hajui kabisa tunamshauri asome kozi hii;
Basic Computer Knowledge
Module:
-Introduction to IT with Windows 10
-Introduction to Microsoft Word 2016
-Introduction to Microsoft Excel 2016
-Introduction to Microsoft Power Point 2016
-Internet & Email


Kozi huchukua muda wa wiki tano (5) masaa mawili kwa siku [Jumatatu - Ijumaa] kuna madarasa ya wikiend pia.
Ada ni 200,000/= [Mafunzo + Kitabu cha rangi + flash Disk (8GB) ]
Madarasa yanaanza kila siku, karibu sana.
Tupigie: 0717 718519 | 022 270 1320
Tuandike: training@comskills.co.tz
 
1065527
 
Karibu sana ndugu "Ifururu", kwa mtu ambaye hajui kabisa tunamshauri asome kozi hii;
Basic Computer Knowledge
Module:
-Introduction to IT with Windows 10
-Introduction to Microsoft Word 2016
-Introduction to Microsoft Excel 2016
-Introduction to Microsoft Power Point 2016
-Internet & Email


Kozi huchukua muda wa wiki tano (5) masaa mawili kwa siku [Jumatatu - Ijumaa] kuna madarasa ya wikiend pia.
Ada ni 200,000/= [Mafunzo + Kitabu cha rangi + flash Disk (8GB) ]
Madarasa yanaanza kila siku, karibu sana.
Tupigie: 0717 718519 | 022 270 1320
Tuandike: training@comskills.co.tz
Boss unaweza kunisaidia PDF ya hicho kitabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Boss unaweza kunisaidia PDF ya hicho kitabu

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana ndugu "OG12", tunataman sana kukusaidia. Lakini tungekushauri uje kusoma ili upate ujuzi zaidi na uelewa mkubwa wa yale yaliyomo kwenye kitabu chetu pendwa. Itakusaidia sana kwenye nyanja nzima ya ICT.
Karibu sana,
Tupigie: 0717 71 85 19 | 0762 192 532
Tuandikie: training@comskills.co.tz
Tutembelee: Ofisi zipo Makumbusho Bus stand, gorofa ya pili.
Muda wa ofisi: saa 12 asubuhi mpaka saa nne usiku siku zote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom