Asante na karibu sana ndugu "talnam", excel ni cut across application software ambap ukielewa utaweza itumia kulingana na maitaji yako husika.Kwa watu wa Public Adminstration in records kwenye package ya excel inakuwaje. Yani nasoma nin na nini
Kituo chenu kimesajiriwa na serikali?Tunakaribisha maombi na ulipaji ushaanza.
Karibuni sana
Asante sana ndugu "sirlogtz", ndio kituo chetu kimesajiliwa na VETA. Ndio wanao husika kwa upande wetu.Kituo chenu kimesajiriwa na serikali?
Asante sana ndugu, "Soso J" ushauri wako ni muhim sana kwetu. Tumeuchukua na tutaufanyia kazi.Niwashauri!Kwanza mtengeneze wigo mpana wa netrlworking,anzisheni channels za Masomo yenu,kule telegram na kwingineko!Watu wakishapima uwezo wenu ni rahisi kuja wao au hata ndugu na jamaa!
Asante sana ndugu "Ambition plus", tunataman sana kuendesha hizi training zetu huko zenji. Tunafanya utaratibu husika, tukiwa tiari tutawajulisha na kuona tunalifanikishaje hili.Zenji lin
Asante ndugu "Zigi 01", kozi za database zipo, kuanzia OCA[ oracle certificated Associate] ,OCP, MCSA-SQL Server, Ms Access.Vp course ya database hamfundishi
Asante ndugu "FUTURE AIM" , iweke sentensi yako kwenye unyoofu mzuri ili tuweze kukujibu kwa kile unacho itaji kukijua kutoka kwetu.ERPNEXT VIP COURSES
Hii ni package pia full accounting, hr,sales na kadhalika nilitaka kujua kama nayenyewe training yake kama mnayo chiefERPNEXT VIP COURSES
Ok shukrani sana,hii hatujawahi itrain hapa kwetu kwa maana ya kuwa matumizi yake kwa hapa nchini yanakuwa madogo sana. Lakini maombi yanakaribishwa.Hii ni package pia full accounting, hr,sales na kadhalika nilitaka kujua kama nayenyewe training yake kama mnayo chief