Yudatade Edesi Shayo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 2,903
- 4,356
Mwenye excavators au anayejua sehemu ya kukodisha tuwasiliane!!
Niko dar mkuuUpo wapi
Siku 3 mkuuKwa siku ngapi?
Muwe mnasema mapema sio kila MTU yupo dar.Niko dar mkuu
Muwe mnasema mapema sio kila MTU yupo dar.Niko dar mkuu
Samahani kwa usumbufu bossMuwe mnasema mapema sio kila MTU yupo dar.
Nipo Geita Mashine ipo
Nime ku pm mkuuipo Dar kwa siku laki 2.5 kama upo interested njoo pm
Mhh hii bei duh mbona ndogo sanaipo Dar kwa siku laki 2.5 kama upo interested njoo pm
inategemeA anataka kwa kazi gani zipo mpaka za laki nane na millioni bossMhh hii bei duh mbona ndogo sana
Umeona pm yangu?inategemeA anataka kwa kazi gani zipo mpaka za laki nane na millioni boss
Kwa uzoefu wako huwa ni bei gani?Mhh hii bei duh mbona ndogo sana
250,000 ni excavator ya aina gani hiyo?ipo Dar kwa siku laki 2.5 kama upo interested njoo pm
Lakii?? Mkuu unaijua vizuri excavatorLaki siku kwa siku ipo Dar mbezi
Kuanzia laki 7 na kuendeleaKwa uzoefu wako huwa ni bei gani?
Au umehisi tu kuwa bei ni ndogo?
Kazi Ni ndogo mkuu kazi ya siku tatuAchana na vimeo vya mtaani nenda Mantrac caterpillar wao ni dealer wa CAT na pia wana kitengo cha rentals machine.
Wapo karibu na quality Plaza na TOL