Examination in China

Examination in China

RGforever

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2011
Posts
6,877
Reaction score
5,444
♡♡♡♡♡ uploadfromtaptalk1376976165284.jpg
 
Yes yes hiii ikiletwa Bongo, Mulugo na Kawambwa watapata division one zenye zero ndani yake
 
%90 wataacha shule maana kibongobongo duu majanga
 
Hii noma sana, wazee wa kudesa hapa lazima waende na maji...
 
Hapo dawa ni kuingia na kibuti chako tuu....
 
wanaita "gao kao " mtihani wa kujiunga na chuo.. wanapangiwa vyuo kutokana na ufaulu wao
 
Hii inanikumbusha kipindi nipo Seminari kipindi mmeanza mitihani kuna Padri alikuwa anakupanga labda wewe mbele nyuma yako yupo jamaa wa six kulia kuna dogo wa form 1 kushoto kuna mdau wa five alafu wewe upo form 4..ukiaulizia jamaa wanapiga paper gani utakuta yule math,huyu chem mwingine hist wewe unapiga Geog ukimtafuta form 4 mwenzako hapo unakuta naye hali ileile..kwa hiyo itakubidi uwe unasoma tu kwa juhudi kuepusha shari uvuke wastani 60 usirudushwe home..
 
Umenikumbusha chuo mkuu, wazee wa kudesa... teh,teh,teh!!

Mkuu watu walikuwa wanatengeneza "Chain" zao... Hata invigilator hawapangue vipi lakini mwisho wa siku unakuta chain imejiunga tena. UDSM - B.Com walikuwa noma kwa style ya kutengeneza Chain za Kudesa, in short walishindikana....
 
Hii inanikumbusha kipindi nipo Seminari kipindi mmeanza mitihani kuna Padri alikuwa anakupanga labda wewe mbele nyuma yako yupo jamaa wa six kulia kuna dogo wa form 1 kushoto kuna mdau wa five alafu wewe upo form 4..ukiaulizia jamaa wanapiga paper gani utakuta yule math,huyu chem mwingine hist wewe unapiga Geog ukimtafuta form 4 mwenzako hapo unakuta naye hali ileile..kwa hiyo itakubidi uwe unasoma tu kwa juhudi kuepusha shari uvuke wastani 60 usirudushwe home..

Mkuu dah! Seminari noma, sisi tulikuwa tunafanyia exam bwaloni madarasa yote. Halafu mapadre wamesimama wima kama vile wanasimamia mtihani wa kuingia mbinguni, kichwani unawaza wastani wa 55%. For sure sintakaa nikasahau.
 
Hii inanikumbusha kipindi nipo Seminari kipindi mmeanza mitihani kuna Padri alikuwa anakupanga labda wewe mbele nyuma yako yupo jamaa wa six kulia kuna dogo wa form 1 kushoto kuna mdau wa five alafu wewe upo form 4..ukiaulizia jamaa wanapiga paper gani utakuta yule math,huyu chem mwingine hist wewe unapiga Geog ukimtafuta form 4 mwenzako hapo unakuta naye hali ileile..kwa hiyo itakubidi uwe unasoma tu kwa juhudi kuepusha shari uvuke wastani 60 usirudushwe home..

Huu ndo mtindo wa Chuoni sasa....
 
Back
Top Bottom