Yes yes hiii ikiletwa Bongo, Mulugo na Kawambwa watapata division one zenye zero ndani yake
Umenikumbusha chuo mkuu, wazee wa kudesa... teh,teh,teh!!Hii noma sana, wazee wa kudesa hapa lazima waende na maji...
Umenikumbusha chuo mkuu, wazee wa kudesa... teh,teh,teh!!
Tena kibongobongo wapelekwe uwanja wa taifa wakafanyie humo
Hii inanikumbusha kipindi nipo Seminari kipindi mmeanza mitihani kuna Padri alikuwa anakupanga labda wewe mbele nyuma yako yupo jamaa wa six kulia kuna dogo wa form 1 kushoto kuna mdau wa five alafu wewe upo form 4..ukiaulizia jamaa wanapiga paper gani utakuta yule math,huyu chem mwingine hist wewe unapiga Geog ukimtafuta form 4 mwenzako hapo unakuta naye hali ileile..kwa hiyo itakubidi uwe unasoma tu kwa juhudi kuepusha shari uvuke wastani 60 usirudushwe home..
Hii inanikumbusha kipindi nipo Seminari kipindi mmeanza mitihani kuna Padri alikuwa anakupanga labda wewe mbele nyuma yako yupo jamaa wa six kulia kuna dogo wa form 1 kushoto kuna mdau wa five alafu wewe upo form 4..ukiaulizia jamaa wanapiga paper gani utakuta yule math,huyu chem mwingine hist wewe unapiga Geog ukimtafuta form 4 mwenzako hapo unakuta naye hali ileile..kwa hiyo itakubidi uwe unasoma tu kwa juhudi kuepusha shari uvuke wastani 60 usirudushwe home..