Shida iko wapi?
Ndio, inawezekana mdada kaona mleta mada anaonyesha dalili za kutaka kujirudi hivyo kaamua kufanya defensive mechanism.Hakuna shida ila kulikuwa na umuhimu wowote wa kufanya hivyo?
tuletee ka thread detailed mkuuKuna X wangu mmoja nilimletea uzi humu,
Alikuwa fulu kunizingua na mchizi wake,
Nilicho mfanyiaa hata kaa asahau maishani mwake, kile kidonda sijui kitapona lini.
Nimetafuna mdogo wake na rafiki akee wa karibu sanaa.
Japo pesa imenitoka ila adabu kaipata na royo yangu imetuliaa.
Sitaki Ujinga.
angeona bado unampenda?#ko unampenda ila unakaza tu kiume usionekane kolo#after 5 yrs dah ww kibokoSiwezi kureact negative angeona bado nampenda
Hapo sasa!!mi kuwasiliana na Ex sioni sababu.na sitarajii mpenzi wangu awasiliane na wa kwake pia.Mnawasiliana vipi na kwa sababu zipi?
ACHIA MOYO HUO WEWE!Siwezi kureact negative angeona bado nampenda
Dah...acha ujinga...mtafute mdogo wake wa kike...au rafiki wa karibu sana.......Baada ya kuachana kwa muda mrefu ex wangu wa kitambo leo kanitambulisha bwana ake wa sasa ambaye amevuta ex wangu
nimeshangaa na sijajua lengo lake kwasababu nipo mbali kwa miaka mitano sasa na mapenzi hakuna tena, je nini lengo lake?




Akili zenye kasoroKuna X wangu mmoja nilimletea uzi humu,
Alikuwa fulu kunizingua na mchizi wake,
Nilicho mfanyiaa hata kaa asahau maishani mwake, kile kidonda sijui kitapona lini.
Nimetafuna mdogo wake na rafiki akee wa karibu sanaa.
Japo pesa imenitoka ila adabu kaipata na royo yangu imetuliaa.
Sitaki Ujinga.
Kama bado alikua a nakupenda sidhani kama kidonda kitakua kimepoaKuna X wangu mmoja nilimletea uzi humu,
Alikuwa fulu kunizingua na mchizi wake,
Nilicho mfanyiaa hata kaa asahau maishani mwake, kile kidonda sijui kitapona lini.
Nimetafuna mdogo wake na rafiki akee wa karibu sanaa.
Japo pesa imenitoka ila adabu kaipata na royo yangu imetuliaa.
Sitaki Ujinga.
Umri wako tafadhali?Baada ya kuachana kwa muda mrefu ex wangu wa kitambo leo kanitambulisha bwana ake wa sasa ambaye amevuta ex wangu
nimeshangaa na sijajua lengo lake kwasababu nipo mbali kwa miaka mitano sasa na mapenzi hakuna tena, je nini lengo lake?
tuletee ka thread detailed mkuu
Kama bado alikua a nakupenda sidhani kama kidonda kitakua kimepoa
Ila kama alishamove on umetwanga maji kwenye kinu
Unaweza ukawa huna wivu nae ila kwann akutambulishe kwa mpenz wake wakat anajua junsi mlivyokuwa awali,hana lolote anamuoneshea yy akisema cha nn kuna wengne wanasema watakipata linIli aone kama bado una wivu naye