We kibokoKuna X wangu mmoja nilimletea uzi humu,
Alikuwa fulu kunizingua na mchizi wake,
Nilicho mfanyiaa hata kaa asahau maishani mwake, kile kidonda sijui kitapona lini.
Nimetafuna mdogo wake na rafiki akee wa karibu sanaa.
Japo pesa imenitoka ila adabu kaipata na royo yangu imetuliaa.
Sitaki Ujinga.
Mnawasiliana vipi na kwa sababu zipi?Sikuona sababu ya utambulisho coz tupo mbali kuanzia mikoa mpaka mahusiano
Ili aone kama bado una wivu naye
Amepagawa huyo " yaani muachane kipindi chote hicho halafu bado anakuletea hayo mapicha picha "Sikuona sababu ya utambulisho coz tupo mbali kuanzia mikoa mpaka mahusiano
Nimemjibu kawaida na kumsifia jamaa yake coz mi nimesha move kitambo sana.