Waseme
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 2,600
- 4,073
Mlikuwa na mahusiano serious na ya muda mrefu ila hujaweka sababu hasa zilizofanya mshindwe kuoana ni nini....je unavyotaka akuoe kuna kitu kimebadilika??
Huo ukaribu wa hivyo na x wako hauwezi kukuacha salama..kama ulishaamua kuachana nae ungekaa mbali na mawasiliano ukate...anakutumia tu huyo fungua akili tafuta wa kwako
Huo ukaribu wa hivyo na x wako hauwezi kukuacha salama..kama ulishaamua kuachana nae ungekaa mbali na mawasiliano ukate...anakutumia tu huyo fungua akili tafuta wa kwako