Ex wangu anaondoka... msaada

Ex wangu anaondoka... msaada

Isikilize nafsi yako kwa kuwa nafsi ni mtu wa ndani anayemuongoza mtu wa nje (mwili)
 
Huyo jamaa hajaacha, anatikisa kiberiti tu. Subiri akilewa kama kawaida.

Afu ni kama ulianza mapema sana. Maana huyu ni 10yrs ilopita, ina maana ulikuwa 18, na ni wa pili!
 
Habari zenu?
Kwanza napenda kuwashukuru wale wote wanaojitahidi kutoa ushauri kwa watu wenye matatizo mbalimbali. Kuna muda mtu unahitaji kuongea tu ili upate ushauri ila unapokosa mtu wa kukusikiliza ndipo hupelekea hata kujiua na kufanya mambo ambayo hukuwahi kufikiria kuyafanya.
BACK TO TOPIC
Mimi ni mwanamke mtu mzima mwenye miaka 28. Katika safari yangu ya mahusiano nimewahi kudate na wanaume wawili. Huyo wa kwanza sikuwahi kumpenda na yeye hakuwahi kunipenda. Tatizo lipo kwa huyu mtu wa pili.
yeye tumefahamiana naye miaka kumi sasa ingawa safari ya mapenzi ilidumu kwa miaka mitatu tu mapak 2017. Kutokana na mimi kufahamika kwao na yeye kufahamika kwetu, kuna undugu ambao ulianza kujitokeza hata kabla ya sisi kuunganishwa na Mungu. Kushirikiana kwenye mambo ya kijamii, kusaidia na kwenye magonjwa, kushirikiana kwenye sherehe nk. Vitu hivi vilitufanya tuwe karibu sana na ex wangu.
Tulikaa chini tukayaongea na yeye akaweka wazi kuwa katika watu asiowafikiria kua nao tena ni mimi hivyo tunaweza kuwa best friend kama kawaida. Na kweli tuilishirikiana sana sana sana kwa muda wa miezi kama mitatu au minne. Yeye akinishirikisha vitu vyake vya ndani hata vinavyomuhusu girlfriend wake nami nikimuhusisha katika baadhi ya mambo.
Ugumu ulianza pale ambapo kila jamaa anapolewa, ananiambia ananipenda anaitaka nk. Na msema kweli mpenzi wa Mungu, mimi nampenda sana huyu kaka ila naenjoy hata kuwa rafiki nae inatosha.
Mara mbili tatu tulifanikiwa kuvunja amri ya sita pasipo kupanga. Yalipotokea hayo, ex akaniomba kuwa inabidi tuanze kudate lakini tutakua pamoja na yule girlfriend wake yaani tuwe wawili ingawa huyo girlfriend wake hajui uwepo wangu ila ananifahamu kwa kunisikia kua nilikua na huyo jamaa kwa muda tena in serious relationship.
Mara ya kwanza aliponiambia swala la kuwa nae, nilimuomba aniache kwanza nifikirie. Baada ya siku ya pili nilimuambia wazi kuwa mapenzi ya nmana hiyo yasiyo na dira mimi siyawezi. Kama ananitaka kweli achague moja, either tubaki kwenye serious relationship au tuendelee kuwa marafiki tena tunaoheshimiana.
Cha ajabu mwenzangu amekasirika na nikimtumia ujumbe hajibu wala kupokea simu yangu.
Asubuhi ya leo amenipigia na kuniambia hawezi kuwa rafiki nami kwa kua kila anapokua nami anapata hisia za kimapenzi hivyo kujiepusha ni bora tukatengana.
Guys i feel bad kumpoteza mtu ambaye tumesaidiana naye kwenye kila hali na bado anaendelea kunisaidia hata baada ya kuniambia hivyo.
Naombeni mnishauri kwa vyovyote vile jamani.
Muhumu kuweza kumove on aiseee
 
unajua kufanikiwa hakuna umri hata mahusiano pia hayana umri hapo umri unakutesa 28 na huna mapenzi ya dira ni tatizo ilo nachokushauri pambana na maisha yako mimi dada yangu kaolewa akiwa na miaka 30 na alikuwa na maujinga kama yako
 
Mkuu hiyo. Papuchi ni tamu leta uku tuongeze sukari guru
 
Ukiona hivyo ujue wewe ni aina flani ya wanawake ambao sio wife material lakini una shape kali na miuno ya kuvunja chaga...
Kwahii jamaa anataka akufanye wa matumizi ya rejareja
Huku akiwa na relationship yake na wifematerial wake
 
Achana nae. Utapita Kipindi kigumu cha kumkumbuka ila itafika hatua. Hata kumuona utakuwa hutaki
Akishaachana nae pesa za kulia bata utampa wewe? Watu wazima tushaelewa hapo jamaa yuko vizuri kifedha na ukizingatia hali ya hivi vyuma hapo ye akomae nae tu mpaka kieleweke akimuacha tu wadangaji wanampitia
 
Meridah Tough
inasikitisha sana kuwa una umri mkubwa lakini akili ni ya kitoto sana.
Amekuweka wazi kuwa hamuwezi kuwa pamoja yaani kuoana, na ana mpenzi wake na bado unamng'ang'ania!

Unapoteza muda kumpenda asiyekupenda.
Fungua moyo wako kwa mpenzi mtarajiwa ili aingie, achana na asiyekupenda
 
Miaka 28 hujitambui wewe vipi kuwa na akili hata kidogo watu wanaolewa mpaka 40 yrs sasa 28 unakuwa wa hivyo, miaka 20 mwanamke unajitambua acha hizo
 
Nyie bado mnapendana, cha msingi kamtafutie tu limbwata!
 
Miaka 28 hujitambui wewe vipi kuwa na akili hata kidogo watu wanaolewa mpaka 40 yrs sasa 28 unakuwa wa hivyo, miaka 20 mwanamke unajitambua acha hizo
huyu ni killazza full
Meridah Tough
inasikitisha sana kuwa una umri mkubwa lakini akili ni ya kitoto sana.
Amekuweka wazi kuwa hamuwezi kuwa pamoja yaani kuoana, na ana mpenzi wake na bado unamng'ang'ania!

Unapoteza muda kumpenda asiyekupenda.
Fungua moyo wako kwa mpenzi mtarajiwa ili aingie, achana na asiyekupenda
 
Habari zenu?
Kwanza napenda kuwashukuru wale wote wanaojitahidi kutoa ushauri kwa watu wenye matatizo mbalimbali. Kuna muda mtu unahitaji kuongea tu ili upate ushauri ila unapokosa mtu wa kukusikiliza ndipo hupelekea hata kujiua na kufanya mambo ambayo hukuwahi kufikiria kuyafanya.
BACK TO TOPIC
Mimi ni mwanamke mtu mzima mwenye miaka 28. Katika safari yangu ya mahusiano nimewahi kudate na wanaume wawili. Huyo wa kwanza sikuwahi kumpenda na yeye hakuwahi kunipenda. Tatizo lipo kwa huyu mtu wa pili.
yeye tumefahamiana naye miaka kumi sasa ingawa safari ya mapenzi ilidumu kwa miaka mitatu tu mapak 2017. Kutokana na mimi kufahamika kwao na yeye kufahamika kwetu, kuna undugu ambao ulianza kujitokeza hata kabla ya sisi kuunganishwa na Mungu. Kushirikiana kwenye mambo ya kijamii, kusaidia na kwenye magonjwa, kushirikiana kwenye sherehe nk. Vitu hivi vilitufanya tuwe karibu sana na ex wangu.
Tulikaa chini tukayaongea na yeye akaweka wazi kuwa katika watu asiowafikiria kua nao tena ni mimi hivyo tunaweza kuwa best friend kama kawaida. Na kweli tuilishirikiana sana sana sana kwa muda wa miezi kama mitatu au minne. Yeye akinishirikisha vitu vyake vya ndani hata vinavyomuhusu girlfriend wake nami nikimuhusisha katika baadhi ya mambo.
Ugumu ulianza pale ambapo kila jamaa anapolewa, ananiambia ananipenda anaitaka nk. Na msema kweli mpenzi wa Mungu, mimi nampenda sana huyu kaka ila naenjoy hata kuwa rafiki nae inatosha.
Mara mbili tatu tulifanikiwa kuvunja amri ya sita pasipo kupanga. Yalipotokea hayo, ex akaniomba kuwa inabidi tuanze kudate lakini tutakua pamoja na yule girlfriend wake yaani tuwe wawili ingawa huyo girlfriend wake hajui uwepo wangu ila ananifahamu kwa kunisikia kua nilikua na huyo jamaa kwa muda tena in serious relationship.
Mara ya kwanza aliponiambia swala la kuwa nae, nilimuomba aniache kwanza nifikirie. Baada ya siku ya pili nilimuambia wazi kuwa mapenzi ya nmana hiyo yasiyo na dira mimi siyawezi. Kama ananitaka kweli achague moja, either tubaki kwenye serious relationship au tuendelee kuwa marafiki tena tunaoheshimiana.
Cha ajabu mwenzangu amekasirika na nikimtumia ujumbe hajibu wala kupokea simu yangu.
Asubuhi ya leo amenipigia na kuniambia hawezi kuwa rafiki nami kwa kua kila anapokua nami anapata hisia za kimapenzi hivyo kujiepusha ni bora tukatengana.
Guys i feel bad kumpoteza mtu ambaye tumesaidiana naye kwenye kila hali na bado anaendelea kunisaidia hata baada ya kuniambia hivyo.
Naombeni mnishauri kwa vyovyote vile jamani.
Alikuwa anataka uendelee kumpa kitumbua chako . Kama unaweza endelea kumpa kitumbua jamaa atakuwa na njaa Kali .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom