sayoo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 5,272
- 7,871
Sasa hapo umenyanyasika vip ? Tafuta pesa acha kulamba lamba lips. Sasa hiyo namba yake bado unayo ya nn utoto bado unakusumbuaWakuu poleni na miangaiko ya hapa na pale kuna ex wangu nimeachana nae ni kama miezi 8 sasa tulitofautiana ila hatukufuta mawasiliano ila uwa hatuwasiliani sema yeye uwa anakomenti sana status zangu sasa jana nikamuweka demu wangu mpya status nashangaa amekomenti eti ww unadhani