Ex wangu alivyonitesa leo ananililia

Wale ma anko wanaopitia wanachuo na kuwatafuna tafuna huwa wanalipizia jinsi walivoumizwa na wao enzi hizo. So the circle continues...
 
Shida ya hawa viumbe hawezi kukaa na mabwana zao wakajenga future zao, huwa wanaona wanachelewa maisha na kuwahi kutafuta waliofanikiwa baadae giza likiwashinda wanajirudi. So sad!

Nimekuelewa zaidi ulivyoelezea kuna mwanamke alizingua kipindi cha chuo sasa hivi ana mtoto kazalishwa mtoto miaka mitatu anasema nimuoe mimi namwangalia nacheka tu
 
Umenichekesha na mm hase bonge la ujumbe usitafute mtu tafuta pesa tu
 
Huu usemi naukubali sana,"heshimu taulo sana maana sehemu uliyofutia tako leo kesho unaweza futia uso"
 
Kuna Mwanamke nilikua nae Juzi hapa Tumetoka kuonana sehemu Akataka Nimpe hela ya Nauli Wakati huo Sina Sikumpa Akamaind Sana Akasema Eti Nimemdharisha Akaniacha Eti Hawezi Kuwa Na Mimi Kisa Simpi Hela Bhana Namuonea Huruma Sana Kwani Yajao Yanafurahisha
 
Mkuu alikuona uko na 30 Age anajua huwezi kutusua
 
Aisee , hii story haina tofaut na story ya kangu , kama kwamba vile umenicopy my real life story na ku paste kwako

Mm pia yalinikuta na kisingizio kilikua hiko hiko uncle
 
Nimeona nitie neno hapa
Huu ujumbe ni wakweli kabisa
 
Ulianza mapenzi chuoni kama hivi bado sana kwenye game mimi demu aliyenifuta wenge na kujuta kupenda ni wakati nipo kidato cha pili ila sasa hivi akiniona ananiomba selfie
Haya mambo ni psychology tu hakuna anayewahi wala anayechelewa ukipenda umependa na ukiumizwa unaumia vile vile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…