Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana atashindaObama mimi ameni disappoint sana..i had so much hope alivyokua kwenye kampeni..he promised so much yet delivered so little... tatizo ni kwamba alternative yake ni mitt romney ambae naona ni mpuuzi...this time republicans hawana candidate strong...ni bora wamuache obama aendelee mana wakimuingiza romney white hse..america sijui itaelekea wapi
[h=2]A serious man[/h] [h=1]The secret diary of Barack Obama's ex-girlfriend[/h] Revealed: the future president's TS Eliot-inspired fatalism and bare-chested crossword-solving proclivities
Barack Obama as a student in 1990, at Harvard Law School in Cambridge, Massachusetts, which he attended after graduating from Columbia University. Photograph: Joe Wrinn/AP
kikubwa nilichoona ni kuwa huyu ex-galfriend alichozingatia kweye hulka ya Obama ni pamoja na:-
1) Obama ni msiri sana na hakuwa wazi kwake.
2) Maandalizi ya kuwa Raisi wa marekani aliyaanza mapema sana.
3) Hupenda kujisomea vitabu sana.
4) Ni mtu makini kwenye mipangilio yake.
mengineyo jisomee mwenyewe....................
Obama mimi ameni disappoint sana..i had so much hope alivyokua kwenye kampeni..he promised so much yet delivered so little... tatizo ni kwamba alternative yake ni mitt romney ambae naona ni mpuuzi...this time republicans hawana candidate strong...ni bora wamuache obama aendelee mana wakimuingiza romney white hse..america sijui itaelekea wapi