EWURA yatangaza kuongeza bei ya umeme kwa asilimia 8.5

kuna kiongozi mmoja alikuwa anaongea na wananchi wa mtwara wanaolalamikia kusahaulika kwa upande wa viwanda eti akawaambia viwanda vimekwama kutokana na kushuka kwa bei ya mafuta duniani na wao wakaona sawa
 
Mkuu Nicholas,nadhani tujadili manufaa ya mkoa kupata shule nyingine ya ubwete,kuliko kujadili kwa nini mkoa umepewa shule,
Upatikanaji wa shule hiyo utaongeza idadi ya vijana wanaofaulu katika mkoa wa Kagera.Hili ndio la msingi,tuache kutafuta siasa,tutaonekana hatukupenda mkoa kupewa shule
Mkuu hizi shule mbona zipo nyingi tuu, kwanini hiyo ya ccm?Hujaona ukakasi hapo na fikra za watawala? Hizo hela mbona zingeweza jenga shule nyingine na kuacha hiyo ya CCM wajenge wenyewe ili shule ziongezeke zaidi ili unachotaka kusema kifanyike kwa ukubwa zaidi?
 
hapa nawaza hivi kwanini siasa zinatumika kudanganya watu?

Tulidanganywa na Profesa Mhongo kwamba Gesi ya Mtwara ikishaunganishwa kwenye Gridi ya Taifa Umeme Utashuka sana Bei.

Tena tuliambiwa Kuanzia mwaka Huu 2017 bei itashuka kabisa.

Sasa wanakuja kutuambia Bei inapanda?

Hakika siasa tanzania ni Uongo Mtupu.
Siasa za Taa nesco na zenyewe za kijinga. Mara maji ya mtera mara gharama. Tunarudi kule kule watu wa tanesco kutaka pesa za kugawana kama wakati wa ngelela kwa visingizio vya hovyo kabisa
 
Waziri Makamba atoe maelezo mazuri kuhusu gesi ya Tanzania
hapa nawaza hivi kwanini siasa zinatumika kudanganya watu?

Tulidanganywa na Profesa Mhongo kwamba Gesi ya Mtwara ikishaunganishwa kwenye Gridi ya Taifa Umeme Utashuka sana Bei.

Tena tuliambiwa Kuanzia mwaka Huu 2017 bei itashuka kabisa.

Sasa wanakuja kutuambia Bei inapanda?

Hakika siasa tanzania ni Uongo Mtupu.
 
hapa nawaza hivi kwanini siasa zinatumika kudanganya watu?

Tulidanganywa na Profesa Mhongo kwamba Gesi ya Mtwara ikishaunganishwa kwenye Gridi ya Taifa Umeme Utashuka sana Bei.

Tena tuliambiwa Kuanzia mwaka Huu 2017 bei itashuka kabisa.

Sasa wanakuja kutuambia Bei inapanda?

Hakika siasa tanzania ni Uongo Mtupu.

Prof Mhongo hakudangaja katika hili, sema serikali bado haina nia ya dhati kuwapunguzia wananchi makali gharama za nishati.

Wanaendelea kutumia sehemu ya kufanyia kampeni na ufisadi uliotukuka.
 
Back
Top Bottom