kongomboli
Senior Member
- Apr 11, 2011
- 155
- 34
Yakaribia wiki moja sasa tangu ewura watoe tangazo la pingamizi kwa mtu yeyote dhidi ya symbion power kwani wanataka kupewa leseni ili waiuzie TANESCO umeme.Wakati huohuo Symbion wamesema mitambo imekamilika na wapo tayari kuunganisha umeme wao kwenye grid ya taifa mara tu watakapopewa leseni na ewura.
Jambo la kushangaza ni kwamba tayari Tanesco wametangaza mgawo mkali wa masaa kumi mfululizo Tanzania nzima.
Swali:Je,huku sio kuhujumu watz tushindwe kuweka pingamizi dhidi ya symbion??!!
Ukichunguza kwa makini utagundua kuwa kuna mchezo tunachezewa hapa! Nani sasa ataweka pingamizi ktk mazingira kama hayo yaliyotokea ndani ya wiki moja tu?!!
Kidumu CHAMA CHA MAPINDUZI!!!
Jambo la kushangaza ni kwamba tayari Tanesco wametangaza mgawo mkali wa masaa kumi mfululizo Tanzania nzima.
Swali:Je,huku sio kuhujumu watz tushindwe kuweka pingamizi dhidi ya symbion??!!
Ukichunguza kwa makini utagundua kuwa kuna mchezo tunachezewa hapa! Nani sasa ataweka pingamizi ktk mazingira kama hayo yaliyotokea ndani ya wiki moja tu?!!
Kidumu CHAMA CHA MAPINDUZI!!!