Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,605
- 15,937
Kuna huduma kwenye mitandao ya kutaka kujua Bei za mafuta kwa kupiga *152*00# na inakuletea mpaka machaguo ya sehemu ulipo.
Cha ajabu ni kwamba huduma hii haijawahi kurudisha ujumbe wa Bei za mafuta katika maeneo yaliyoorodheshwa.
Nawashauri kama huduma hii imewashinda ifuteni maana inakua haina maana. Au kuna uwezekano kuna hujuma inafanywa kwa ushirikiano na wafanyabiashara wa mafuta kwa maslahi yao binafsi. Ni hayo tuu jirekebisheni EWURA.
Cha ajabu ni kwamba huduma hii haijawahi kurudisha ujumbe wa Bei za mafuta katika maeneo yaliyoorodheshwa.
Nawashauri kama huduma hii imewashinda ifuteni maana inakua haina maana. Au kuna uwezekano kuna hujuma inafanywa kwa ushirikiano na wafanyabiashara wa mafuta kwa maslahi yao binafsi. Ni hayo tuu jirekebisheni EWURA.