C Calist Senior Member Dec 17, 2010 130 7 Nov 7, 2011 #1 EWURA mmetuhakikishia kuwa mnayo mafuta ya kutosha kumbe ni siasa tu, leo mji wa IrInga hakuna petrol kabisa tunataka majibu ya uhakika ni nini kimetokea hadi visima vyote havina Petrol wakati mmesema mafuta yapo ya kutosha.
EWURA mmetuhakikishia kuwa mnayo mafuta ya kutosha kumbe ni siasa tu, leo mji wa IrInga hakuna petrol kabisa tunataka majibu ya uhakika ni nini kimetokea hadi visima vyote havina Petrol wakati mmesema mafuta yapo ya kutosha.
M Mbalamwezi JF-Expert Member Sep 30, 2007 800 171 Nov 7, 2011 #2 Wenye kampuni za mafuta ndo wabunge wa kamati ya nishati na madini unategemea nini?
C Calist Senior Member Dec 17, 2010 130 7 Nov 7, 2011 Thread starter #3 Sasa EWURA wanafaida gani kwetu kama wapo kuwatumikia hao mafisadi ?