crabat
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 4,322
- 2,203
Wakati mnaendelea na huu mjadala, mtambue kuwa wafuasi wa dini ya Allah wamejitoa Muhanga misikitini huko Yemen, mpaka sasa wafuasi 137 wa mafunzo ya Mohammed tayari wamekufa. Wajitoa Muhanga hao wameandaliwa na Marekani, Israel pamoja na makafir wengine
BBC News - Yemen mosque attacks in Sanaa 'unprecedented'
BBC News - Yemen crisis: Islamic State claims Sanaa mosque attacks
CC kahtaan, BONGOLALA,FaizaFoxy, Ritz, THE BIG SHOW
Hata ukraine pia yapo
Matatizo ya kisiasa na kiuchumi na ukarabala hauizii machafuko
Serikali na wabunge kuelemea upande mmoja hauzii kuleta fujo
Iwe ukraine congo rwanda au yemen penye dhulma binaadam atafanya chochote kunusuru kizazi chakea
Hayo si ajabu ni mapambano vi vita na huwa havichagui
Mbaya ni makafiri kama marekani kuingia msikitini na kuua watu in cold blood kama walivofanya Faluja na Afghanstan
Kwa hiyo munapinga mahakama ya kadhi ili hayo yeje hapa kwetu ?
Mahakama hio itakuja tu time will tell