Bw. AB,
Tatizo la hii 'model' ni kwamba huku kwetu uswazi nyumba za kupanga, vyombo vyaoshewa nje upenuni watu wote na wapita njia wakuona, maana hamna haya mambo ya ndani kwa ndani.
Hivo mwanamume unapoamua kufanza kama haya inabidi uwe na moyo wa chuma kwelikweli, maana kila mtu mtaani atajua.