Jamini hili jambo la kawaida sana duniani....si Tanzania tu.Limeanzia huko kwenye nchi zilizoendelea ila kutokana mifumo yao kukomaa linaweza kuwa halifanyiki kwa sasa.
Hapa Tanzania si magari tu si unaona siku hizi watu wanavyochoma majengo....haya mambo ya kawaida jamani.It must have something to do with insurance....
Ndo biashara hizo...lolz....
Watu wanaangusha malori ya Mizigo kwa makusudi walipwe na insurance???
I dont know how this happens but kuna mdau yeyote alishazisika hizi????
Hata kama ni usanii, hapa wabongo tumepitiliza!!!!