PreGE2025 Evance Kamenge atia nia Jimbo la Misenyi, Kagera

PreGE2025 Evance Kamenge atia nia Jimbo la Misenyi, Kagera

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Kada wa chama cha mapinduzi (CCM) comrade Evance Emmanuel Kamenge amechukua fomu kugombea ubunge jimbo la Missenyi Kagera.

Hatua hiyo inaashiria dhamira yake yakuchangia maendeleo kikamilifu kwa wana Missenyi kupitia uwakilishi Bungeni.

Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025

Mbali na taaluma yake ya uchumi ,Evance Kamenge pia ni Mfanyabishara na mdau mkubwa wa maendeleo katika jamii yake.
1751135923909.png
 
Back
Top Bottom