Eusebio wa Ureno Afariki Dunia

Eusebio wa Ureno Afariki Dunia

Mipangomingi

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2011
Posts
2,713
Reaction score
2,062
Aliyewahi kuwa gwiji wa Soka miaka ya 60 nchini Ureno Eusebio da Silva amefariki dunia akiwa na miaka 71. Eusebio ambaye alizaliwa mwaka 1942 nchini Msumbiji wakati nchi hiyo ikiwa koloni la Ureno inaaminika ndiye mchezo bora zaidi kuwahi kutokea ktk enzi zake nchini Ureno na ambaye alikuwa akikipiga na klabu ya Benfica. Source: bbc breaking news
 
images

images
 
huyu jamaa nilishawahi kuangalia documentary ya maishe yake na soka lake alikuwa mkali sana
 
Portugal football legend Eusobio,who was top scorer at the 1966 World Cup,has died at the age of 71.Born in Mozambique in 1942 when it was a Portuguese colony,Eusobio da Silva Ferreira went to play 64 times for Portugal,scoring 41 goals.Eusobio was the1965 European Footballer of the Year,won the European Cup with Benfica in 1962 and was in the side that lost to Manchester United in the 1968 Wembley final.He won 10 league championships and five Portuguese cups in his 15 years with Benfica and was Portugal,s top scorer between 1964 and 1973.
 
Alikuwa mchezaji mzuri sana,ingawa alikimbia kwao mozambique

rest in peace
 
Portugal football legend Eusobio,who was top scorer at the 1966 World Cup,has died at the age of 71.Born in Mozambique in 1942 when it was a Portuguese colony,Eusobio da Silva Ferreira went to play 64 times for Portugal,scoring 41 goals.Eusobio was the1965 European Footballer of the Year,won the European Cup with Benfica in 1962 and was in the side that lost to Manchester United in the 1968 Wembley final.He won 10 league championships and five Portuguese cups in his 15 years with Benfica and was Portugal,s top scorer between 1964 and 1973.

Hii Habari ipo kitambo sana!!
 
Portugal football legend Eusobio,who was top scorer at the 1966 World Cup,has died at the age of 71.Born in Mozambique in 1942 when it was a Portuguese colony,Eusobio da Silva Ferreira went to play 64 times for Portugal,scoring 41 goals.Eusobio was the1965 European Footballer of the Year,won the European Cup with Benfica in 1962 and was in the side that lost to Manchester United in the 1968 Wembley final.He won 10 league championships and five Portuguese cups in his 15 years with Benfica and was Portugal,s top scorer between 1964 and 1973.

images
 
Ulimwengu wa soka utakukumbuka daima Eusebio
 
Back
Top Bottom